Binti Matola mwanamama shujaa aliyepinga uhuru wa Tanganyika kuwa 1971

Binti Matola mwanamama shujaa aliyepinga uhuru wa Tanganyika kuwa 1971

LUS0MYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
866
Reaction score
1,109
Historia ya Tanganyika imemficha mwanamama huyu ambaye alipingana na viongozi wa Tanu wakiongozwa na Mwalimu Nyerere na wazo la UN kuwa Tanganyika ipewe Uhuru mwaka 1971 na kushinikiza uhuru wa Tanganyika kuwa 1961 na kuleta slogan maarufu wakati wa uhuru ñi sasa.

Kuendelea kutawaliwa na waingereza kulikuwa hakuna faida kwa kuwa Waingereza walikuwa hawana mipango yoyote ya kumuendeleza mtanganyika kwa kuwa ilikuwa sio koloni ĺake kamili. Waingereza walikuwa wanapora tu mali za watanganyika
 
Mzee wetu Mohamed Said
anaweza kutusaidia zaidi kuhusu Hii Historia.Maana umeiacha na Mapengo mengi sana.Tupe wasifu kamili wa huyu Binti Matola,Makazi na kazi yake,Uhusika wake Katika Kudai Uhuru kwa kina na Vyanzo au chanzo cha Taarifa zako.
 
Historia ya Tanganyika imemficha mwanamama huyu ambaye alipingana na viongozi wa Tanu wakiongozwa na Mwalimu Nyerere na wazo la UN kuwa Tanganyika ipewe Uhuru mwaka 1971 na kushinikiza uhuru wa Tanganyika kuwa 1961 na kuleta slogan maarufu wakati wa uhuru ñi sasa.

Kuendelea kutawaliwa na waingereza kulikuwa hakuna faida kwa kuwa Waingereza walikuwa hawana mipango yoyote ya kumuendeleza mtanganyika kwa kuwa ilikuwa sio koloni ĺake kamili. Waingereza walikuwa wanapora tu mali za watanganyika
Lusomya,
Inakuwaje ikiwa tuna shujaa mpigania uhuru kama Bint Matola leo hatuna hata picha yake wala hajatajwa katika historia ya TANU?

Kuna mwenye jibu atupe?
 
Mzee wetu Mohamed Said
anaweza kutusaidia zaidi kuhusu Hii Historia.Maana umeiacha na Mapengo mengi sana.Tupe wasifu kamili wa huyu Binti Matola,Makazi na kazi yake,Uhusika wake Katika Kudai Uhuru kwa kina na Vyanzo au chanzo cha Taarifa zako.
Masokotz,
Mpaka leo natafuta picha ya Bi. Fatma bint Matola sijaipata.

Najiuliza kwa nini imekuwa hivi kuwa wapigania uhuru wote wamefutwa wamepachikwa watu wengine?:

Nani anajua historia za akina mama hao hapo chini waliopigania uhuru wa Tanganyika?"
1712864642469.jpeg

Amina Kinabo
Moshi
1712865417928.png

Halima Selengia
Moshi
1712865315762.png

Lucy Lameck
Moshi

1712864732925.jpg

Tatu bint Mzee
Dar es Salaam
1712865605498.png

Halima Khamis
Dar es Salaam
1712864836440.png

Mwamtoro bint Chuma
Dar es Salaam
1712864903482.png

Nyange bint Chande
Tabora
1712865176832.png

Zarula bint Abdulrahman
Tabora
1712865096454.png

Sharifa bint Mzee
Lindi
1712865503446.png

Mwami Theresa Ntare
Kasulu
 

Attachments

  • 1712865259893.png
    1712865259893.png
    51.8 KB · Views: 11
Masokotz,
Mpaka leo natafuta picha ya Bi. Fatma bint Matola sijaipata.

Najiuliza kwa nini imekuwa hivi kuwa wapigania uhuru wote wamefutwa wamepachikwa watu wengine?:

Nani anajua historia za akina mama hao hapo chini waliopigania uhuru wa Tanganyika?"
View attachment 2961024
Amina Kinabo
Moshi
View attachment 2961037
Halima Selengia
Moshi
View attachment 2961034
Lucy Lameck
Moshi

View attachment 2961026
Tatu bint Mzee
Dar es Salaam
View attachment 2961049
Halima Khamis
Dar es Salaam
View attachment 2961028
Mwamtoro bint Chuma
Dar es Salaam
View attachment 2961030
Nyange bint Chande
Tabora
View attachment 2961032
Zarula bint Abdulrahman
Tabora
View attachment 2961031
Sharifa bint Mzee
Lindi
View attachment 2961044
Mwami Theresa Ntare
Kasulu
Washindi ndio huandika historia.
 
Washindi ndio huandika historia.
Yoda,
Washindi wameshinda nini?
'' Washindi'' wako waliandika historia lakini ndani hakukuwa na kitu.

Historia ya ''Washindi,'' leo imekuwa kichekesho.

Ndiyo kisa leo Watanzania wanauliza imekuwaje historia imeandikwa Fatma Matola hayumo?

Mohamed Said akaongeza na picha za wanawake wengi waliokuwa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wa Tanganyika lakini wamefutwa na ''Washindi.''

''Washindi'' ndio waandikao historia za uongo.
 
Pamoja na ukristo wangu naumia sana pia mchango wa uislam na waislam katika historia ya nchi yetu usivyotajwa popote. Na hata uamuzi wa waislamu kubariki mkristo Mw Nyerere kuwa kiongozi wao ndiyo chanzo cha umoja tunaojivunia leo...
 
Kwamba ulijaribu kuandika / kuiweka sawa hii Historia wino / text zikawa invisible ?

Ila haujachelewa unaweza kuleta habari zake hata leo..., bali hakuna ulazima wa kuwashusha wengine ili kuwapandisha wengine... Wote waelezewe kwa mchango wao
 
Back
Top Bottom