Binti mbunge Hana-Rawhiti Maipi-Clarke, Ujasiri na uthubutu wake ni A+

Binti mbunge Hana-Rawhiti Maipi-Clarke, Ujasiri na uthubutu wake ni A+

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Clarke 1.jpg

Huyu binti kanivutia sana. Ni mbunge huko New Zealand. Ndo mbunge mwenye umri mdogo kwenye bunge la nchi hiyo. Ujasiri na uthubutu wake ni A+.

Wiki iliyopita, mnamo tarehe 14 Novemba, katika hatua ya kuupinga muswada mpya ambao unafasili misingi ya mkataba kati ya jamii ya Maori [jamii atokayo] na Wakoloni wa Kiingereza, alianza kuimba na kucheza wimbo wa “Ka Mate” huku akiichana na kuitupa karatasi ambayo muswada huo ulikuwa umeandikwa.

Wamaori wenzie ndani ya bunge nao walimuunga mkono kwa kuanza kuimba na kucheza Haka.



Wow! Ni binti wa 2002.
 
Ni utoto tu, akikua ataacha.

Hata hapa bongo, kuna wabunge waliingiaga bungeni wakiwa watoto, walipofika huko walitukana na wengine kutaka kuzipanga.

Ila leo hii ukiwapa mic wanaongea fact na wanabishana kwa hoja
 
Huyu si mara yake ya kwanza kuruka ruka bungeni kwa Ka Mate. Hawa wanataka kuwa na exclusive rights na tayari wanazo ila bado wanataka zaidi. Yani sheria tofauti na jamii nyingine, wawe na exclusive rights za kuvua na almost kila kitu kwa kudai wao ndio wa asili na wengine wavamizi.

Jamii zilizobaki zinadai haiwezekani kuwe na sheria mbili mbili kwa jamii moja kuwa na sheria zenye upendeleo kwake dhidi ya jamii nyingine.

Wanadai pamoja hawa kupewa upendeleo, jamii nyingine ikiwa ni pamoja na wahamiaji, wanakuja, wanafanikiwa huku hawa wakiendelea kuwa vile vile kwa sababu wao hata hawaweki mkazo kwenye elimu na wanaona wanaohamia wakafanikiwa basi wanawaibia wao.
 
Awa UK waacha kukoloni maeneo ya watu wawe na Aibu kwanza wamewauwa sana awa wenyeji afu bado wanang.ang.ania!!! Na ukweli kitendo kile ndicho kinawafanya wakatae kuwa chini y UK kivyovyote awataki. Mmeuwa kizaz chao na bado mpo apo tutawaamini vipi!!!
 
Awa UK waacha kukoloni maeneo ya watu wawe na Aibu kwanza wamewauwa sana awa wenyeji afu bado wanang.ang.ania!!! Na ukweli kitendo kile ndicho kinawafanya wakatae kuwa chini y UK kivyovyote awataki. Mmeuwa kizaz chao na bado mpo apo tutawaamini vipi kenge maji wakubwa.
 
Wiki iliyopita, mnamo tarehe 14 Novemba, katika hatua ya kuupinga muswada mpya ambao unafasili misingi ya mkataba kati ya jamii ya Maori [jamii atokayo] na Wakoloni wa Kiingereza, alianza kuimba na kucheza wimbo wa “Ka Mate” huku akiichana na kuitupa karatasi ambayo muswada huo ulikuwa umeandikwa.
Kwamba ni makini kisa kupiga makelele, we utakua typical democrat mnapenda woke and cancel culture ila hao hawana hoja yaani wanataka exclusive treatment kuliko jamii zingine kwani how special are they?
 
Mimi nadhani asome Qur'an aya zinazoungumzia utoaji wa haki kwa watunga sheria na wenye mamlaka. Hii itasaidia, kucheza sindimba watu watacheka itaisha

Wabunge/mawaziri wote wanaapa kwa hivyo vitabu vya dini sijui wamewafikisha wapi hadi leo.
 
Kwamba ni makini kisa kupiga makelele, we utakua typical democrat mnapenda woke and cancel culture ila hao hawana hoja yaani wanataka exclusive treatment kuliko jamii zingine kwani how special are they?
Nimesema ni makini?

Halafu you are dumb AF!

Mimi na woke culture wapi na wapi?

Fellate me….
 

Huyu binti kanivutia sana. Ni mbunge huko New Zealand. Ndo mbunge mwenye umri mdogo kwenye bunge la nchi hiyo. Ujasiri na uthubutu wake ni A+.

Wiki iliyopita, mnamo tarehe 14 Novemba, katika hatua ya kuupinga muswada mpya ambao unafasili misingi ya mkataba kati ya jamii ya Maori [jamii atokayo] na Wakoloni wa Kiingereza, alianza kuimba na kucheza wimbo wa “Ka Mate” huku akiichana na kuitupa karatasi ambayo muswada huo ulikuwa umeandikwa.

Wamaori wenzie ndani ya bunge nao walimuunga mkono kwa kuanza kuimba na kucheza Haka.



Wow! Ni binti wa 2002.

Kwa nchi yenu unamuona jasiri kwasababu mmekaririshwa kuwa viongoz wenu miungu watu. Hawapingwi. Ila nchi za huko wanaojielewa kupinga mswada au hata kuchana makaratasi yake au kumpinga kiongoz hadharani ni kitu cha kawaida. Angalia mwez uliooita Mbunge wa Australia alivyomchana na kumkashifu king charles wa Uingereza alioenda Australia.. Kamwambia ufalme wako peleka kwenu mlitesa watu mlipotawala. Pia angalia Youtube speaker wa US kipindi hicho anachana hotuba ya trump mbele yake alipomkabidhi.

Je jiulize kuna mbunge wenu anaweza kumchana King charles akija Bongo.
 
Kwa nchi yenu unamuona jasiri kwasababu mmekaririshwa kuwa viongoz wenu miungu watu. Hawapingwi. Ila nchi za huko wanaojielewa kupinga mswada au hata kuchana makaratasi yake au kumpinga kiongoz hadharani ni kitu cha kawaida. Angalia mwez uliooita Mbunge wa Australia alivyomchana na kumkashifu king charles wa Uingereza alioenda Australia.. Kamwambia ufalme wako peleka kwenu mlitesa watu mlipotawala. Pia angalia Youtube speaker wa US kipindi hicho anachana hotuba ya trump mbele yake alipomkabidhi.

Je jiulize kuna mbunge wenu anaweza kumchana King charles akija Bongo.
Hapana.

Hata huko kwao na kwingineko kapongezwa kwa uthubutu wake na ndo maana kawa/ kaenda viral.


View: https://youtu.be/bKDSqsDQR2I?si=4-SLQ3TChneORoUP
 

Huyu binti kanivutia sana. Ni mbunge huko New Zealand. Ndo mbunge mwenye umri mdogo kwenye bunge la nchi hiyo. Ujasiri na uthubutu wake ni A+.

Wiki iliyopita, mnamo tarehe 14 Novemba, katika hatua ya kuupinga muswada mpya ambao unafasili misingi ya mkataba kati ya jamii ya Maori [jamii atokayo] na Wakoloni wa Kiingereza, alianza kuimba na kucheza wimbo wa “Ka Mate” huku akiichana na kuitupa karatasi ambayo muswada huo ulikuwa umeandikwa.

Wamaori wenzie ndani ya bunge nao walimuunga mkono kwa kuanza kuimba na kucheza Haka.



Wow! Ni binti wa 2002.

Brilliant
 
Watanzania tumevuka level ya ukabila na umaeneo
Uko ofisi gani ta serikali utudhitishie hili na ss tukupe vivid ongoing example yanyofanyika modusini against tribal and religious differences
 
Back
Top Bottom