Binti mrembo pisi kali, kwao maisha mazuri lakini ni kondakta wa Basi

Binti mrembo pisi kali, kwao maisha mazuri lakini ni kondakta wa Basi

habari ya jumamosi.

ukweli mabinti wa kichaga wana tofauti kubwa na makabila mengi. sio wavivu na hawachagui kazi.

mfano hai ni huyu dada kondakta wa bus. shule amesomeshwa tena shule nzuri, kwao maisha mazuri, vijana wanasema mboga saba ila kazi yake huyu dada ni kondakta wa bus.

nawaza tu kwa uzuri huu na maisha mazuri kwao , wangekuwa nao hawa dada zetu wazaramo, je wangekubali kazi ya ukonda ?
View attachment 2892759
View attachment 2892763

View attachment 2892765

View attachment 2892770

View attachment 2892766


View attachment 2892775
Unajuaje labda yupo sehemu ya Biashara za familia na ukonda ni sehemu ya kuexperience the business on the road?
 
Sasa maisha yakiwa mazuri kwao ndyo asitafute pesa yake jamani...acheni kujaji
Matajiri wa kichaga aweza kabidhi basi kuwa wewe simamia Hilo konda yeye mkata tiketi yeye ajifunze biashara akijua anampa basi aendelee na maisha yake

Sasa kama mtu mkware atadhani anafanga kumbe.mali Yao au ya ndugue amfunza kazi amwachie au ampe madaraka makubwa kwenye kampuni
 
Matajiri wa kichaga aweza kabidhi basi kuwa wewe simamia Hilo konda yeye mkata tiketi yeye ajifunze biashara akijua anampa basi aendelee na maisha yake

Sasa kama mtu mkware atadhani anafanga kumbe.mali Yao au ya ndugue amfunza kazi amwachie au ampe madaraka makubwa kwenye kampuni

Wachaga wana akili sana ya biashara.

Huyo binti kawekwa kwenye bus asikae bure tu nyumbani anapiga umbea ama anazurura.

Wachaga hawapendi kula kulala
 
habari ya jumamosi.

ukweli mabinti wa kichaga wana tofauti kubwa na makabila mengi. sio wavivu na hawachagui kazi.

mfano hai ni huyu dada kondakta wa bus. shule amesomeshwa tena shule nzuri, kwao maisha mazuri, vijana wanasema mboga saba ila kazi yake huyu dada ni kondakta wa bus.

nawaza tu kwa uzuri huu na maisha mazuri kwao , wangekuwa nao hawa dada zetu wazaramo, je wangekubali kazi ya ukonda ?
View attachment 2892759
View attachment 2892763

View attachment 2892765

View attachment 2892770

View attachment 2892766


View attachment 2892775
Weka hapa jina lake, shule aliyomaliza na mwaka tumfananishe na JJ(Jesca Jiwe).
 
Hao Tilisho bus wame ajiri pisi kali nyingi Kuna kale kengine wanakaita nice.
 
habari ya jumamosi.

ukweli mabinti wa kichaga wana tofauti kubwa na makabila mengi. sio wavivu na hawachagui kazi.

mfano hai ni huyu dada kondakta wa bus. shule amesomeshwa tena shule nzuri, kwao maisha mazuri, vijana wanasema mboga saba ila kazi yake huyu dada ni kondakta wa bus.

nawaza tu kwa uzuri huu na maisha mazuri kwao , wangekuwa nao hawa dada zetu wazaramo, je wangekubali kazi ya ukonda ?
View attachment 2892759
View attachment 2892763

View attachment 2892765

View attachment 2892770

View attachment 2892766


View attachment 2892775


Labd nikuulize, uzuri unaingizaje pesa?
 
habari ya jumamosi.

ukweli mabinti wa kichaga wana tofauti kubwa na makabila mengi. sio wavivu na hawachagui kazi.

mfano hai ni huyu dada kondakta wa bus. shule amesomeshwa tena shule nzuri, kwao maisha mazuri, vijana wanasema mboga saba ila kazi yake huyu dada ni kondakta wa bus.

nawaza tu kwa uzuri huu na maisha mazuri kwao , wangekuwa nao hawa dada zetu wazaramo, je wangekubali kazi ya ukonda ?
View attachment 2892759
View attachment 2892763

View attachment 2892765

View attachment 2892770

View attachment 2892766


View attachment 2892775
Huyo amechagua kuishi. Mungu ampe maisha marefu
 
Kwa mimi nilivyowaza na akili zangu za jioni kwa huyu binti kuna vitu viwili Mosi, huyu binti anafanya anacho kipenda (check body language yupo confortable means hajalazimishwa) Pili, inawaeza ikawa kweli anahusika direct or indirect kwenye umiliki na usimamizi wa hizo Tilisho Bus(mchaga ni kama muhindi aachii mali alioitafuta ipotee njee kizembe)
 
Point ya muhimu ni kuwa kaamua kujituma , na siyo habari ya kujadili uzuri kuna makondkta wa bus ni wazuri zaidi yake, sahivi Bus za abiria zimekua nzuri sana kazi ya ukondakta siyo ngumu tena mlango wa abiria unafunguliwa na dereva kwa batan, siyo kama zamani kwenye Nissan UD body kutoka Choda Kenya mlango unafunguliwa na teke

Sahivi buti ya gari mlango wa abiria unafunguliwa kwa batan na dereva, kondakta kazi yake kushika hela za njiani tu ni kama anatalii
 
Back
Top Bottom