Binti msomi analalamika kusumbuliwa na Wanaume kisa ni pisi kali

Binti msomi analalamika kusumbuliwa na Wanaume kisa ni pisi kali

Kama hii kwao mbovu basi wanawake zao kama malaika wenzetu, itabidi muanze kujiombea
Ingekua tunaweza kujiombea ungekua unazisikia hizi sarakasi mitaani? Unajua mwanzo wa matatizo yote haya unayashuhudia ni hii hii dog mkia mbele, mathalan kama wanaume wangekua sawa, unafikiri hizi kesi za unyanyasaji wa kingono makazini au ubakaji, mambo ya kinyume cha maumbile kwa me na ke yangekuwepo? Walaji wa hizo bidhaa zote ni wanaume. Maombi muhimu rafiki.
 
Wewe ni maskini,yaani Laki 2 ndio ishu sana kwako? Kwanza huyo demu sio wa Laki 2 labda Laki 5 kuendelea

Haya mambo magumu sana kapten, hapo kuna mtu hatoi hata 10k, mwingine ndio huyo kasema 200k, wewe umetangaza 500k, mwingine atanunua usafiri, mwingine yuko radhi ajengee nyumba kabisa. Kila mmoja ananyonyoa kwa kadri ya urefu wa kamba yake.
 
Maisha Yana mambo mengi sana. Imagine huyu binti na hizi kelele zote ameenda kuleta dhahama Kwa mahusiano ya kijana wa watu.

Varangati lake ikabidi wazee wa kijana waingilie kati sfukuzwe Kwa nguvu na kufungashwa virago.

Ni kweli hayo ni mambo yake binafsi lakini asipotoshe umma kwamba uzuri wake ni tatizo linalotishia yeye kufanya kazi vizuri Kwa ufanisi.

Yeye ndio ana hayo mawazo, kigezo cha uzuri kimetawala kichwa chake na ndio Kila kitu kwake.
 
Maisha Yana mambo mengi sana. Imagine huyu binti na hizi kelele zote ameenda kuleta dhahama Kwa mahusiano ya kijana wa watu.

Varangati lake ikabidi wazee wa kijana waingilie kati sfukuzwe Kwa nguvu na kufungashwa virago.

Ni kweli hayo ni mambo yake binafsi lakini asipotoshe umma kwamba uzuri wake ni tatizo linalotishia yeye kufanya kazi vizuri Kwa ufanisi.

Yeye ndio ana hayo mawazo, kigezo cha uzuri kimetawala kichwa chake na ndio Kila kitu kwake.
aiseee.......
kumbe kavamia penzi la watu?

anyway, hawa mabinti wa aina hii (popular,&beautiful) huwa wanatoa mizigo kwa watu wakubwa huko wanakoajiriwa, so kupata kijana wa kutulia nae inakua kazi sana!
 
Lack of exposure isikufanye ujione ni mzuri! Kuna kijiji nimefikia huku ndani ndani kabisa naona wadada kama hao wengi tu! Kinachombeba huyo ni status yake maana mademu wengi wenye statuses nzuri ya kazi sio wazuri😂
 
Maisha Yana mambo mengi sana. Imagine huyu binti na hizi kelele zote ameenda kuleta dhahama Kwa mahusiano ya kijana wa watu.

Varangati lake ikabidi wazee wa kijana waingilie kati sfukuzwe Kwa nguvu na kufungashwa virago.

Ni kweli hayo ni mambo yake binafsi lakini asipotoshe umma kwamba uzuri wake ni tatizo linalotishia yeye kufanya kazi vizuri Kwa ufanisi.

Yeye ndio ana hayo mawazo, kigezo cha uzuri kimetawala kichwa chake na ndio Kila kitu kwake.
Amesha leta varangati kwenye ndoa za watu kumbe dooh
 
Oya wazee wa short chassis hio pisi ya kwenda Wala si utani.😂 Kama sifa mbovu aliyonayo labda ni ufupi tu ila Kwa urembo ni mashaallah
 
Back
Top Bottom