Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Surely , ni mzuri banaAcheni wivu jamani, mtoto mzuri huyo.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Surely , ni mzuri banaAcheni wivu jamani, mtoto mzuri huyo.....
AfricaKumekucha....
Umelizoom vipi hilo tako lake mkuu?Uzuri upo kwenye Tako na naona analo Kwa asilimia 75...pisi Kali passed and verified.
Toa vigezo mkuu.Huyu dada ni mzuri
Na kuna uwezekano hadi rangi ikawa feki pia... Halafu wa kawaida mbonaKwanza huyu sio mrembo zaidi ya kujichubua kwa ushahidi ufuatao:
1. Nyusi ni feki za bandia
2. Eye lash feki
3. Lipstick feki
4. Makeups feki
Ndio ni mzuri ila sio kiasi hicho mpaka iwe tangazo la BBC.
Halafu kwanza wanawake weupe sio watamu huwa wanakua wabaridi kama mijusi.
Upate mtoto mweusi ndio utafurahia mwenyewe kwanza anakua na joto lile lenyewe natural
bwana muumbaji ushafikaKwanza huyu sio mrembo zaidi ya kujichubua kwa ushahidi ufuatao:
1. Nyusi ni feki za bandia
2. Eye lash feki
3. Lipstick feki
4. Makeups feki
Mfupi alafu hana tako? Hamnakitu hapo!
Mbona wa kawaida tu. Sema anajiweka sawa kutokana na status aliyonayo. Congratulations for her achievements
Meaning yeye mwenyewe ndiye anayewatengenezea mazingira wanaume 😀😀Vitu vingine hua wanalalamika bure tuu uvaaji wao hawa wasomi hua hauna utofauti sana na wadangaji au wakodisha mbususu wa mjini na sisi Wanaume tulio wengi kuna vitu fulani tukiviona kwa uwazi hatulazi damu
Apewe maua yake
Sasa huyo hana akili? Au umekurupuka? UN election observer anakosaje akili? Ni sawa na mkeo huyo?Mwanamke mzuri asiye na akili, ni kama pete ya dhahabu puani mwa kitimoto.
Weka picha yakeNi kweli ni mzuri, ila hamfikii mke Wa mume wangu mtarajiwa