Binti Mtanzania aliyelipwa BILIONI 1 Ufaransa kwa kazi ya siku 1

Binti Mtanzania aliyelipwa BILIONI 1 Ufaransa kwa kazi ya siku 1

Simlaumu kutumia pass za canada kwasababu pass za canada zinamraisishia mambo mengi . Tatizo Tanzania tunaona tunawakomoa wanaopata uraia nje. Lakini ukweli huyo dada angeweza kuitangaza Tanzania kuliko Diamond na wapiga dili wanaotumiwa na serekali kutangaza tanzania. Sasa huyo dada anapasi za canada Tanzania ikitaka kumtumia kutangaza Tanzania pesa atakayo stahili. Kulipwa kama mcanada lazima iwe ndefu
True
 
Mwenye nacho huongezewa....mama balozi..exposure aliipata huko.hongera zake Mungu amsaidie afike mbali zaidi
Kweli alie nacho huongezewa fikiria Baba mchimba chumvi,mama muuza genge utaenda ufaransa?
 
Huyo yupo under gency nilazima kuna parentage inaenda kwa agency. Though pesa itakuwa bado nyinngi. Hongera sana heriath paul
 
wakati natazama hiyo video,nimegundua body language ya binti mmoja wa kizungu(kasimama nyuma-kushoto) ni ya kumuonea "jicho la husda" huyo Harieth.
Black is beauty ...
na wao wanajua kua black is beauty ndo mana jicho flan la husda lazima litoke
 
Bora umeishia hapo hukufunguka zaidi.

Ama kweli lilia bahati na sio uzuri,kila nikimuangalia Herieth...
Basi tu.
Hongera my dear.
Wish you best of lucky.
 
Dahh Hongera zake kwa kweli alafu yupo simple, natural [emoji106][emoji106][emoji106]
 
Dece 13, 2016
Binti Mtanzania aliyelipwa BILIONI 1 Ufaransa kwa kazi ya siku 1
Herieth Paul ni Binti Mtanzania mwenye umri wa miaka 20 tu lakini jina lake limekua kubwa kila kukicha nchini Marekani akiwa ni Mwanamitindo mwenye umri mdogo lakini amepiga hatua kubwa kwenye kazi ya Uwanamitindo, bonyeza play kufahamu zaidi.

Source: Millard Ayo

More Info:
Ottawa, Canada
Ottawa Model Herieth Paul Walks the Victoria’s Secret Runway

BY Nicolina Leone
POSTED December 2, 2016 11:23 am
If glitter, sparkle, and lingerie aren’t your thing, the Victoria’s Secret Fashion Show might not be on your radar. But if you like to cheer for homegrown talent like Herieth Paul, keep reading.

In short, the show is one of the largest and most-viewed fashion events in the world. Some of the most famous models — known as Angels when it comes to VS — have graced its runway: Gisele Bündchen, Heidi Klum, Adriana Lima, Candice Swanepoel, Naomi Campbell, Alessandra Ambrosio, Tyra Banks, Chanel Iman, and Rosie Huntington-Whiteley, to name a few. Now, one of our very own will be joining the ranks.

Herieth Paul, 20, was born in Tanzania and moved to Ottawa with her family just weeks before her eleventh birthday; the impetus was her mother’s job as a diplomat at the Tanzania High Commission in Ottawa.

Paul got her modelling chops at Angie’s Models when she was just 14 years old and her career has since taken off. She’s walked for the likes of Tom Ford and Diane von Fürstenberg, was recently named Canadian Supermodel of the Year, and is the current face of Maybelline. (The runway shots, above, show Paul walking for Tom Ford and Burberry.)

Now, as she readies herself for her debut as a Victoria’s Secret Angel walking the runway in Paris, we caught up with Paul while she was in New York preparing for the show.

Where did you live when you moved to Ottawa? What school did you attend?
I lived in Blackburn Hamlet and I went to Lester B. Pearson High School.

Your mom was a diplomat at Ottawa’s High Commission. How has her career influenced you?
With her being a diplomat, we had to go to a lot diplomatic dinners and events and it prepared me to be poised and to have a good presence all the time.

What brought you to Angie’s Models?
It was fate. I had searched on Google for acting/modeling agencies in Ottawa and Angie’s Models & Talent Inc. AMTI was the first one that caught my eye. I attended their open call and Angie told me that I would be a supermodel from day one. She saw it in me. She has a gift to see if one has it or not.

What was your “big break” in your career?
Working with Tom Ford was a dream come true. He is a fashion icon, and a nice man to work with.

You’ve walked many high profile runways, which was your first and what was it like?
Stella McCartney’s fashion show was one of my favorites. It was a dream come true to walk the show and to see Paul McCartney backstage.

What was it like auditioning for the Victoria’s Secret Fashion Show?
It was nerve racking. There are all theses T.V. crews and cameras and people and then there’s me in my bra and underwear.

I’ve seen many clips of the girls being offered their wings and it seemed quite emotional. What did you feel when you were offered a place?
I couldn’t believe it. I cried a little bit. At the casting there were over 500 girls — and I made it!

What are you doing to get prepared to walk in Paris?
I’m doing yoga and Pilates and I’ve been eating really healthy. It’s a daily routine I follow.

Have you met any of the other Angels before?
Yes I’m friends with some of the girls. I’ve worked with Adriana Lima for Maybelline and to share the VS runway with her is going to be magical.

You’ve started working with other agencies as your career has grown. How do you stay connected with Angie’s Models?
Angie’s Models AMTI is my mother agent and Angie Seymour is my family. She has been there for me and guides me everyday. She is one amazing agent. I could not be where I am today without Angie’s guidance. Angie’s Models is where I call home.

Do you have any advice for anyone who wants to pursue modelling as a career, especially coming from a small town like Ottawa?
Find a good agency such as Angie’s AMTI that will connect you to the right people, and always believe in yourself. Many like to talk but take no action. AMTI is one of the best in Canada.

Herieth Paul appears in the Victoria’s Secret Fashion Show, which airs on Monday, Dec. 5 at 10 p.m. on Global-TV. This year’s performers include Lady Gaga, Bruno Mars, and The Weeknd.

Source: Ottawa Model Herieth Paul Walks the Victoria's Secret Runway | Ottawa Magazine

Mimi yanachonikera malimbukeni yakiendaga ughaibuni kwa nini huwa hayataki kutumia majina ya koo zao?!eti'Herieth Paul' mmxiuuuu[emoji34] [emoji35]
 
Unamfahamu Lupita Nyong'o? Unajua alicho wapa wazungu na kumpa umaarufu?

Mzungu si mjinga akupe maburungutu ya hela bila kunufaika na wewe

Nitajie mwanamtindo mwingine aliye wah kupewa kiasi hicho cha hela kwa siku moja
 
Ahsante sana pole pia nawe ndiyo matatizo ya kupenda siku nyingine kupenda kunasababisha ukosefu wa furaha kwa kiasi fulani.

Acha tu kaka,haya maisha hayako fair kabisa.

BTW...pole,naona tumenuniana kule 'nyumbani'
Sio mbaya tukapeana pole huku...lol
 
Ila kusema kweli binti ana heshima sana aisee. Halafu familia yao yote ni watu poa sanaaaa yaani wanastahili kwa kweli kuwa na binti mwenye mafanikio makubwa kiasi hiki tena ya haraka sana. Wakati mwingine wazungu wanasema "To be at the right place at the right time." Nyota zote zinajipanga kisha BOOM! mambo yamejipa unaona kila unachogusa kinageuka kuwa dhahabu.

Models kutoka Afrika wana vipingamizi vikubwa tu katika hii industries ikiwemo kuambiwa wana accent, rangi na wengine wakiambiwa wana "attitude" hivyo inanipa furaha kubwa kumuona huyu binti anapata mafanikio makubwa sana katika kipindi kifupi. Kinachonishangaza katika magazeti ya weusi ya USA sijamuona huyu binti wamuweke hata katika jarida moja labda siku za usoni anaweza kutokea kwenye Ebony, Essence na magazeti mengine ya weusi.

Acha tu kaka,haya maisha hayako fair kabisa.

BTW...pole,naona tumenuniana kule 'nyumbani'
Sio mbaya tukapeana pole huku...lol
 
[QUOTE="Mbalamwezi1, post: 18931853, member: 189]Mimi yanachonikera malimbukeni yakiendaga ughaibuni kwa nini huwa hayataki kutumia majina ya koo zao?!eti'Herieth Paul' mmxiuuuu[emoji34] [emoji35][/QUOTE]
Majina "rafiki" katika mabano husaidia, Diamond Platnumz, Harmonize n.k husaidia kutoka kibiashara. Naamini ukifanya google search utapata majina yote kamilifu kikubwa wasanii wajitambulishe wanatoka Tanzania na siyo Tz, Bongo au K'doni kama wanataka kuwa "rafiki wa google search" au "YouTube search".
 
"Ukishindwa kuzuwia kwa mikono kemea kwa sauti, ukishindwa kukemea chukia wazi".

Usishadidie maovu.
Sishadadii but my words are still there no one and i mean no one can do anything about it, kila mtu anaa maisha yake,na zaidi anatafuta pesa kila mtu ana njia yake ya kutafuta pesa
 
Unamfahamu Lupita Nyong'o? Unajua alicho wapa wazungu na kumpa umaarufu?

Mzungu si mjinga akupe maburungutu ya hela bila kunufaika na wewe

Nitajie mwanamtindo mwingine aliye wah kupewa kiasi hicho cha hela kwa siku moja
Mhhh...
Mkuu emb nidadavulie kuhus lupita inaelekea unajua mengi
 
Back
Top Bottom