Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa


conflict za nini na watu?and why?
 
ni kweli ndg ila nakiri walimuua wanze kwa kumuonea kwan kariakoo yenyewe alikuwa haijui vzr kwao mwanza ila Jack ndo alimponza kwani jack alikuwa mishen town na ndo alomwita wakale bata

daah inasikitisha sana,mabinti wengi ni limbukeni wa mitandao,unakutana na mtu mtandaoni mnakua marafiki pasi kujua historia yake,anadeal na watu gani,tabia zake,ifike mahali hii mitanda tuifanye sehemu ya kujifunza na kubadilishana ideas na sio kutafuta ujamaa mitandaoni,dunia imebadilika
 

ni kweli kaka kwani naamini aliomponza wanze na jack
 

Dah.... Yaani leo ndio najua Jack alifariki??? So sad, pole sana baba yangu Dr. Masanja.
 
Nina uhakika hii kesi ilishajifia na polisi wameshindwa kukamata wahusika.
 

...Umeongea Point Tupu Ng'wizukulu Nipe Mkono!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…