Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

Si kwamba amenilia vyangu ila mauaji mengi ya dizaini hii ukiyachunguza sababu za mauaji ndio kama hizi....

Huyu si yule aliyejitangaza ana HIV?
Nawaza tuu kwa sauti what if wauwaji walimwingilia kwa kumlewesha ama mambo kama hayo then mbele wakajua binti ameathirika !? Lazma wafanye hivi
 
Huyu si yule aliyejitangaza ana HIV?
Nawaza tuu kwa sauti what if wauwaji walimwingilia kwa kumlewesha ama mambo kama hayo then mbele wakajua binti ameathirika !? Lazma wafanye hivi
Inawezekana dada....kwani alijitangaza kuwa ni muathirika...??
 
Wanze ni mtoto wa dada yake na Meki Sadik mkuu wa mkoa wa Dar
Unataka uhakika mwingineee

nadhani hisia hizo zako tusizipe nafasi kuhusiana na utafutaji wa wahusika umechangiwa na kugusa familia ya RC..ila tuaminini kuwa hata wewe kama ni mlala hoi ukifanyiwa hivyo vyombo vyetu vya usalama vitakupigania kukamata watakao kufanyia hivyo.!!
 
nadhani hisia hizo zako tusizipe nafasi kuhusiana na utafutaji wa wahusika umechangiwa na kugusa familia ya RC..ila tuaminini kuwa hata wewe kama ni mlala hoi ukifanyiwa hivyo vyombo vyetu vya usalama vitakupigania kukamata watakao kufanyia hivyo.!!

Ukweli ndio huoooo
 
huyu ni mtu amabye marehemu ashura aliweka profile picture yake, na akaweka comment hii (hv wew huwa huna kazi ya kufanya sitaji jibizana nawe sawa mbona shuhuri unayo yako yasha kuishia hebu pita kule basi dume kaa jike toooh
akijibu mu anaejiita Pedro )


10494553_1467138323559254_6131141863713354008_n.jpg

acha uwongo.
 
Alpigiwa simu na rafiki wa wakike wa fb aende Dar akaenda wakatekwa wote mlimani city yeye na huyo rafiki yake wakauliwa wakatupwa maeneo tofauti mmoja temeke na huyu Mwfnz akatupwa bonde la msimbazi
 
Back
Top Bottom