Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,363
Huyu Jack alikuwa muathirika na alijiunga na CLOUDS FM kwenye kipindi cha njiapanda ila alikuwa mjanja mjanja mno. imeongelewa kirefu kwenye kipindi cha njiapanda cha 30.11.2014
Kuhusu jack mahulwa masanja.. ngoja nikae kimya...maana naumia kila nikimkumbuka...