Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

Zaidi ya ukatili na roho mbaya kwa binadamu. Hizi ni siku za hatari mwisho wadau tutubu dhambi zetu.
 
Pole Sana Kwa Ndugu Wa Marehemu
Inauma Sana Jamani
Naomba Serikali Isimamie Hili Suala
Jigo
 
haa jamani binadamu tumekuaje? hivi wanapata faida gani sasa?

mkome kula vitu vya watu halafu mnaingia mitini...ule vitu vyangu halafu kavu hutaki nakukamua firigisi huku unajiona
 
Ndio binam wamempiga halaf hana nguo wamemfunika na shuka,nilikutana na huyu binti mwaka huu mwanzoni kwenye hitma ya bibi yake,niliongea nae sana mchangafu mwenyewee,,
Meck Sadik ni mjomba wake

Kwenye wall yake ya facebook amekuwa akipost jumbe zinazoonesha hakuwa na wakti mzuri na boyfriend or so... Inawezekana ni wivu wa mapenzi mtu wake akapanga namna ya kumkomoa. Kuna post ingine humu kwamba rfki yake wa facebook alisisitiza sana waonane, so kuna mipango hapo. Pia kuna post humu kwamba na rafiki yake huyo wa facebook naye kauawa, so wauwaji walipanga
 
Kwenye wall yake ya facebook amekuwa akipost jumbe zinazoonesha hakuwa na wakti mzuri na boyfriend or so... Inawezekana ni wivu wa mapenzi mtu wake akapanga namna ya kumkomoa. Kuna post ingine humu kwamba rfki yake wa facebook alisisitiza sana waonane, so kuna mipango hapo. Pia kuna post humu kwamba na rafiki yake huyo wa facebook naye kauawa, so wauwaji walipanga

Hii ni premeditated murder. hapo wa kwanza kumnasa anapaswa kuwa boyfriend wake kutokana nahizo post kwenye facebook yake.. Ashura Wanze.
 
Kwenye wall yake ya facebook amekuwa akipost jumbe zinazoonesha hakuwa na wakti mzuri na boyfriend or so... Inawezekana ni wivu wa mapenzi mtu wake akapanga namna ya kumkomoa. Kuna post ingine humu kwamba rfki yake wa facebook alisisitiza sana waonane, so kuna mipango hapo. Pia kuna post humu kwamba na rafiki yake huyo wa facebook naye kauawa, so wauwaji walipanga

alitumia jina gani fb
 
Duuu mi naomba Police wafatilie kwa kina Meck Sadik akikomaa watakamatwa wotee kwa kifo cha mpwa wake
 
Wanze.jpg
Binadamu tumekua zaidi ya wanyama wakali,mara house girl kamkanyaga mtoto,mara huku msichana kanyongwa.
 
watoto wanatumwa kusoma wao kutwa wanahangaika na mahogo ya jang'ombe na kulamba miiko
 
Back
Top Bottom