Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

Nimesoma mahalI kuwa alienda date mliman city...huyo mtu walijuana Facebook na ndo mara ya kwanza kwenda kumeet...jamani blind date sio nzurii mabinti....nna shoga yangu anapenda sana blind date ...anatamaa

Sasa blind date hata kama ni mshirikina...kulikuwa na sababu gani ya kurusha picha mtandaoni...

Huyu blind date atakuwa katumwa...uchunguzi wa kina ufanywe...
 
tofali fanya basi uscreen sht hiyo habari fb uilete hapa tusome na sie
 
Last edited by a moderator:
Nimeona picha FB hatariii..

Jamani nyie mabinti mnamkubalije mtu thru FB...

Story zote tunazoweka humu hamjifunzi tu?

Wasichana wengi duniani wamekufa sababu ya matumizi mabaya ya FB...hasa Nigeria...ukute jamaa mnaijeria (hawezi kuwa m Tz)
 
Nimeona picha FB hatariii..

Jamani nyie mabinti mnamkubalije mtu thru FB...

Story zote tunazoweka humu hamjifunzi tu?

Wasichana wengi duniani wamekufa sababu ya matumizi mabaya ya FB...hasa Nigeria...ukute jamaa mnaijeria (hawezi kuwa m Tz)

Rusha basi picha nyumba kubwa
 
Last edited by a moderator:
Labda mwaka mmoja au mmoja na nusu. Nenda Facebook kwa page ya wemasepetu ameshare hiyo video. Kama machozi yako karibu utalia Sana. Hilo Dada la kazi ni jeuri km iddiamin

Hapanaa siangalii loo
 
Ushaona mateke ya wajeshi? Amekasukuma toka kwenye kochi kakafikia USO, akakapiga mateke mwilini kama mjeshi anavyopiga bila kujali eneo, akakakanyaga mgongoni kwa nguvu akakatolea nje huko nahisi alikarusha Kama jiwe manake hapo video haionyeshi. Yule Mwanamke si binadamu ni pepo mtu

Mmmhhh alikua ana hasira na nini huyu au ndo zombie labda,,,hasira gani upige malaika hajui baya wala jema,,kakung'utwa safi sanaaaaa
 

Attachments

  • 1416605369527.jpg
    1416605369527.jpg
    43.4 KB · Views: 570
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom