Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

Mmmhhh alikua ana hasira na nini huyu au ndo zombie labda,,,hasira gani upige malaika hajui baya wala jema,,kakung'utwa safi sanaaaaa
Video imerushwa hapa. Mimi niomba picha za marehemu ila huyu mleta video ya mtoto hajanielewa. Me naogopa kuangalia video ya unyama huu
 
Video imerushwa hapa. Mimi niomba picha za marehemu ila huyu mleta video ya mtoto hajanielewa. Me naogopa kuangalia video ya unyama huu

AnamkandamiZA na mguu hajui huyu mtoto bado hajakomaa ,hajui uchungu huyo heee ye aone mtoto amekua tu uchungu wake Mola atamzidishia mara dufu
 
....fanya basi uscreen sht hiyo habari fb uilete hapa tusome na sie

wanze.PNG

wenza1.PNG
 
Kwenye picha ni baba. Naskia baba MTU amempa kichapo km si kuzuiwa saa hizi binti angekuwa mavumbini. Ila yuko mahututi kwa kipigo anakula kwa mrija. Wanasubiri apone ajibu mashtaka

Najuta kuangalia hii video inabidi tuwe tunategesha camera,,chakula cha mtoto anakila
Bora ale chakula cha mtoto lakini sio kumpiga vilee
 
refer to riwaya ya Casuist ya Sitaisahau facebook
 
Maskini watu wengine wanatafuta kafara za mizimu yao ya kishirikina so wanatumia hizi blinf date kupata vifaa. Ukute mganga aliwatuma mav..uzi ya demu sasa unadhani utayapataje? Au mtu ametumwa gspot unadhani bila blind date ataipata? Wanawake kuweni makini dunia imevaa bikini hii ohooo

Kumbe ma.vuz.I dili
 
Back
Top Bottom