Binti mwenye penzi la siri nzito

Binti mwenye penzi la siri nzito

Baba jayaron

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2015
Posts
4,324
Reaction score
5,933
Wasalaam;

Katika harakati zangu na changamoto za mambo ya ndoa si nikalengeshwa bwana si unamuona binti flani hana MTU mcheshi, mwenye adabu, anapendwa na kila mtu na wa mama wengi wangetamani watoto ama ndugu zao wa kiume wamuoe.

Nilipozitazama zile sifa nikajiridhisha ni za kweli. Kidume nikajitosa nika mwaga Sera kumbe mtoto alikua ananitamani kitambo jinsi nilivyokua naishi na x wife wangu.
hapakua na hiyana zaidi ya kusema yes tena big yes.

Tumeanza mahusiano nimegundua ni msiri saana anaogopa hata rafiki yake wa karibu kujua uhusiano wetu.

Nimeshtuka mpaka nawaza pengine ndo mana anasifika ametulia au ni vip hata sielewi.

Anajua Ku handle mwanamume vilivyo japo anaonesha si mzoefu saaana kwenye mambo yetu (X) sa sielewi ntashushiwa kitu chenye ncha Kali tena kama alichonichoma nachoX wife wangu au nitulie na huyu anaesemwa vizuri na ulimwengu mzima japo ana mapenzi ya siri mnoo?
 
AlphaOne, this is ZuluOne

Man Down, I repeat Man Down

Requesting Medevac immediatelly

Over and out
🤣🤣🤣🤣 kwahyo mkuu, kwa hili suala la jamaa hakuna "maake hapo kwanza ncheke" kama kawaida yako??
 
Wasalaam;

Katika harakati zangu na changamoto za mambo ya ndoa si nikalengeshwa bwana si unamuona binti flani hana MTU, mcheshi,mwenye adabu,anapendwa na kila mtu na wa mama wengi wangetamani watoto ama ndugu zao wa kiume wamuoe...

Nilipozitazama zile sifa nikajiridhisha ni za kweli... Kidume nikajitosa nika mwaga Sera kumbe mtoto alikua ananitamani kitambo jinsi nilivyokua naishi na x wife wangu.
hapakua na hiyana zaidi ya kusema yes tena big yes!!

Tumeanza mahusiano nimegundua ni msiri saana anaogopa hata rafiki yake wa karibu kujua uhusiano wetu.....
Nimeshtuka mpaka nawaza pengine ndo mana anasifika ametulia au ni vip hata sielewi....

Anajua Ku handle mwanamume vilivyo japo anaonesha si mzoefu saaana kwenye mambo yetu (X) sa sielewi ntashushiwa kitu chenye ncha Kali tena kama alichonichoma nachoX wife wangu au nitulie na huyu anaesemwa vizuri na ulimwengu mzima japo ana mapenzi ya siri mnoo??
Huo usiri usikupe moyo sana. Mostly na wewe kaa kwa machale, maana huyo anaeza kukuua na kukuzika kwa siri apande mpunga juu ya kaburi bubu.
But all in all hongera mkuu
 
Usiyachukilie mapenzi serious sana always utakuwa wa kuumia. Mapenzi ni Sanaa sanaa tu. Usiogope kuanza upya ndo maisha yenyewe. Life without challenges is useless.
Sure .... Sema tushang'atwa na nyoka hua tunashtuka saana
 
Mzee baba, sisi tutakupa ushauri gani kwa mtu tusiyemjua kabisa?

Tafuta watu wanaomjua ndio wakupe mwongozo...
Wanaomjua wanamkubali kinyamaa yaani hata first time ukamuonesha MTU mzima lazima amkubali wasi wasi wangu ni namna anavyoendesha mapenzi kwa siri ndo mama naogopa pengine tumepagwa wengi
 
Huo usiri usikupe moyo sana. Mostly na wewe kaa kwa machale, maana huyo anaeza kukuua na kukuzika kwa siri apande mpunga juu ya kaburi bubu.
But all in all hongera mkuu
Mwana umetisha yaani nioteshewe mpunga juu ya kaburi langu ha ha ha...

Ila hongera ya nn sasa?
 
Back
Top Bottom