Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Wasalaam;
Katika harakati zangu na changamoto za mambo ya ndoa si nikalengeshwa bwana si unamuona binti flani hana MTU mcheshi, mwenye adabu, anapendwa na kila mtu na wa mama wengi wangetamani watoto ama ndugu zao wa kiume wamuoe.
Nilipozitazama zile sifa nikajiridhisha ni za kweli. Kidume nikajitosa nika mwaga Sera kumbe mtoto alikua ananitamani kitambo jinsi nilivyokua naishi na x wife wangu.
hapakua na hiyana zaidi ya kusema yes tena big yes.
Tumeanza mahusiano nimegundua ni msiri saana anaogopa hata rafiki yake wa karibu kujua uhusiano wetu.
Nimeshtuka mpaka nawaza pengine ndo mana anasifika ametulia au ni vip hata sielewi.
Anajua Ku handle mwanamume vilivyo japo anaonesha si mzoefu saaana kwenye mambo yetu (X) sa sielewi ntashushiwa kitu chenye ncha Kali tena kama alichonichoma nachoX wife wangu au nitulie na huyu anaesemwa vizuri na ulimwengu mzima japo ana mapenzi ya siri mnoo?
Katika harakati zangu na changamoto za mambo ya ndoa si nikalengeshwa bwana si unamuona binti flani hana MTU mcheshi, mwenye adabu, anapendwa na kila mtu na wa mama wengi wangetamani watoto ama ndugu zao wa kiume wamuoe.
Nilipozitazama zile sifa nikajiridhisha ni za kweli. Kidume nikajitosa nika mwaga Sera kumbe mtoto alikua ananitamani kitambo jinsi nilivyokua naishi na x wife wangu.
hapakua na hiyana zaidi ya kusema yes tena big yes.
Tumeanza mahusiano nimegundua ni msiri saana anaogopa hata rafiki yake wa karibu kujua uhusiano wetu.
Nimeshtuka mpaka nawaza pengine ndo mana anasifika ametulia au ni vip hata sielewi.
Anajua Ku handle mwanamume vilivyo japo anaonesha si mzoefu saaana kwenye mambo yetu (X) sa sielewi ntashushiwa kitu chenye ncha Kali tena kama alichonichoma nachoX wife wangu au nitulie na huyu anaesemwa vizuri na ulimwengu mzima japo ana mapenzi ya siri mnoo?