Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana maana umebandua ukabandika na umepata mams ako na mahaba teleteleMwana umetisha yaani nioteshewe mpunga juu ya kaburi langu ha ha ha...
Ila hongera ya nn sasa?
Mwanangu kweliiiii.....usiombe uwe divorced man kuna mda naona ka nawatesa iviUjue mkuu,
Wanawake wengi wakidate na divorced man huwa wanakua na tahadhari Sana na hisia zao.Maana mnakuaga na visiran sana Nyie[emoji4]
Comment ya kukera hiiHeri ya shetani unaemjua kuliko malaika usiyemjua
Nataka nibaki nae hapa kitaa ili X aumie vizuriTena muamishe kitaa kabisa ufute hizo memory za x
Utakua bado unampenda x wewe 😂Nataka nibaki nae hapa kitaa ili X aumie vizuri
Hapana bana maana nimemkataa mwenyewe yeye bado ananitakaUtakua bado unampenda x wewe 😂
Tumeanza mahusiano nimegundua ni msiri saana anaogopa hata rafiki yake wa karibu kujua uhusiano wetu.
Nimeshtuka mpaka nawaza pengine ndo mana anasifika ametulia au ni vip hata sielewi.
Anajua Ku handle mwanamume vilivyo japo anaonesha si mzoefu saaana kwenye mambo yetu (X)
Ogopa sana Mtu yeyote msiri kupita kiasi, anaweza kukuchinjia baharini kimya kimya tena kipuuzi sana huku unajiona.Wasalaam;
Katika harakati zangu na changamoto za mambo ya ndoa si nikalengeshwa bwana si unamuona binti flani hana MTU mcheshi, mwenye adabu, anapendwa na kila mtu na wa mama wengi wangetamani watoto ama ndugu zao wa kiume wamuoe.
Nilipozitazama zile sifa nikajiridhisha ni za kweli. Kidume nikajitosa nika mwaga Sera kumbe mtoto alikua ananitamani kitambo jinsi nilivyokua naishi na x wife wangu.
hapakua na hiyana zaidi ya kusema yes tena big yes.
Tumeanza mahusiano nimegundua ni msiri saana anaogopa hata rafiki yake wa karibu kujua uhusiano wetu.
Nimeshtuka mpaka nawaza pengine ndo mana anasifika ametulia au ni vip hata sielewi.
Anajua Ku handle mwanamume vilivyo japo anaonesha si mzoefu saaana kwenye mambo yetu (X) sa sielewi ntashushiwa kitu chenye ncha Kali tena kama alichonichoma nachoX wife wangu au nitulie na huyu anaesemwa vizuri na ulimwengu mzima japo ana mapenzi ya siri mnoo?
Nataka nibaki nae hapa kitaa ili X aumie vizuri
Ogopa sana Mtu yeyote msiri kupita kiasi, anaweza kukuchinjia baharini kimya kimya tena kipuuzi sana huku unajiona.
Mtego huoWanaomjua wanamkubali kinyamaa yaani hata first time ukamuonesha MTU mzima lazima amkubali wasi wasi wangu ni namna anavyoendesha mapenzi kwa siri ndo mama naogopa pengine tumepagwa wengi
Hajaelezea huo mudaWana muda gani kwenye mahusiano kwani?
Basi ntachagua namba tatu bi Dada.... Ngoja ntulie naeUlitaka rafiki yake wa karibu ajue mahusiano yenu ili iweje sasa? Yeye anamjua rafiki yake kuliko wewe unavyomjua. Cha kukushauri wewe, tafuta kumjua yeye tuu
Kama sio mzoefu kwenye mambo ya (X) na hilo limekupa ukakasi japo ana kuhandle vizuri hapo ni wewe kuamua
i. Kumpa ruksa akatafute uzoefu ili akupe unachokitaka au
ii. Kumwacha ukatafute mwenye uzoefu ili upate unachokitaka au
iii. Kumpa uzoefu wa kile unachotaka wewe
Wanaume sijui mnakuaje siku hizi!? 🙄🙄🙄🙄
Nawaza saaana hilo maana anamazingira ya kuniaminisha ametulia sa nsije nka fall alafu nkangukia chumaOgopa sana Mtu yeyote msiri kupita kiasi, anaweza kukuchinjia baharini kimya kimya tena kipuuzi sana huku unajiona.
Mwezi Hivi nadhaniHajaelezea huo muda
Ndo balaa.... Sema kwa umri wake alafu kukosa maajabu kitandani ka naamini katulia flani maana hata mazingira yake sio used saanaMtego huo
Usipokuwa makini lazima unaswe