Binti mwenye penzi la siri nzito

Binti mwenye penzi la siri nzito

Ujue mkuu,
Wanawake wengi wakidate na divorced man huwa wanakua na tahadhari Sana na hisia zao.Maana mnakuaga na visiran sana Nyie[emoji4]
 
Ujue mkuu,
Wanawake wengi wakidate na divorced man huwa wanakua na tahadhari Sana na hisia zao.Maana mnakuaga na visiran sana Nyie[emoji4]
Mwanangu kweliiiii.....usiombe uwe divorced man kuna mda naona ka nawatesa ivi
 
Tumeanza mahusiano nimegundua ni msiri saana anaogopa hata rafiki yake wa karibu kujua uhusiano wetu.

Nimeshtuka mpaka nawaza pengine ndo mana anasifika ametulia au ni vip hata sielewi.

Anajua Ku handle mwanamume vilivyo japo anaonesha si mzoefu saaana kwenye mambo yetu (X)

Ulitaka rafiki yake wa karibu ajue mahusiano yenu ili iweje sasa? Yeye anamjua rafiki yake kuliko wewe unavyomjua. Cha kukushauri wewe, tafuta kumjua yeye tuu

Kama sio mzoefu kwenye mambo ya (X) na hilo limekupa ukakasi japo ana kuhandle vizuri hapo ni wewe kuamua
i. Kumpa ruksa akatafute uzoefu ili akupe unachokitaka au
ii. Kumwacha ukatafute mwenye uzoefu ili upate unachokitaka au
iii. Kumpa uzoefu wa kile unachotaka wewe

Wanaume sijui mnakuaje siku hizi!? 🙄🙄🙄🙄
 
Wasalaam;

Katika harakati zangu na changamoto za mambo ya ndoa si nikalengeshwa bwana si unamuona binti flani hana MTU mcheshi, mwenye adabu, anapendwa na kila mtu na wa mama wengi wangetamani watoto ama ndugu zao wa kiume wamuoe.

Nilipozitazama zile sifa nikajiridhisha ni za kweli. Kidume nikajitosa nika mwaga Sera kumbe mtoto alikua ananitamani kitambo jinsi nilivyokua naishi na x wife wangu.
hapakua na hiyana zaidi ya kusema yes tena big yes.

Tumeanza mahusiano nimegundua ni msiri saana anaogopa hata rafiki yake wa karibu kujua uhusiano wetu.

Nimeshtuka mpaka nawaza pengine ndo mana anasifika ametulia au ni vip hata sielewi.

Anajua Ku handle mwanamume vilivyo japo anaonesha si mzoefu saaana kwenye mambo yetu (X) sa sielewi ntashushiwa kitu chenye ncha Kali tena kama alichonichoma nachoX wife wangu au nitulie na huyu anaesemwa vizuri na ulimwengu mzima japo ana mapenzi ya siri mnoo?
Ogopa sana Mtu yeyote msiri kupita kiasi, anaweza kukuchinjia baharini kimya kimya tena kipuuzi sana huku unajiona.
 
Nataka nibaki nae hapa kitaa ili X aumie vizuri

Nilijua unatafuta mwanamke kwa sababu unamhitaji wa kuwa nae kwenye maisha lol
Kama unakua na mwanamke ili umuumize X angalia sana usije kujiumiza wewe mwenyewe😅😅😅
 
Wanaomjua wanamkubali kinyamaa yaani hata first time ukamuonesha MTU mzima lazima amkubali wasi wasi wangu ni namna anavyoendesha mapenzi kwa siri ndo mama naogopa pengine tumepagwa wengi
Mtego huo
Usipokuwa makini lazima unaswe
 
Ulitaka rafiki yake wa karibu ajue mahusiano yenu ili iweje sasa? Yeye anamjua rafiki yake kuliko wewe unavyomjua. Cha kukushauri wewe, tafuta kumjua yeye tuu

Kama sio mzoefu kwenye mambo ya (X) na hilo limekupa ukakasi japo ana kuhandle vizuri hapo ni wewe kuamua
i. Kumpa ruksa akatafute uzoefu ili akupe unachokitaka au
ii. Kumwacha ukatafute mwenye uzoefu ili upate unachokitaka au
iii. Kumpa uzoefu wa kile unachotaka wewe

Wanaume sijui mnakuaje siku hizi!? 🙄🙄🙄🙄
Basi ntachagua namba tatu bi Dada.... Ngoja ntulie nae
 
Ogopa sana Mtu yeyote msiri kupita kiasi, anaweza kukuchinjia baharini kimya kimya tena kipuuzi sana huku unajiona.
Nawaza saaana hilo maana anamazingira ya kuniaminisha ametulia sa nsije nka fall alafu nkangukia chuma
 
Back
Top Bottom