Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
- #41
Mwezi tuu nadhaniWana muda gani kwenye mahusiano kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwezi tuu nadhaniWana muda gani kwenye mahusiano kwani?
Nataka vyote banaNilijua unatafuta mwanamke kwa sababu unamhitaji wa kuwa nae kwenye maisha lol
Kama unakua na mwanamke ili umuumize X angalia sana usije kujiumiza wewe mwenyewe😅😅😅
Basi ntachagua namba tatu bi Dada.... Ngoja ntulie nae
Hao wakimya, wanaosifika Wana adabu...... Kua makin usijiingize kweny ndoa nae haraka .... Mchunguze kwa kina kirefuWasalaam;
Katika harakati zangu na changamoto za mambo ya ndoa si nikalengeshwa bwana si unamuona binti flani hana MTU mcheshi, mwenye adabu, anapendwa na kila mtu na wa mama wengi wangetamani watoto ama ndugu zao wa kiume wamuoe.
Nilipozitazama zile sifa nikajiridhisha ni za kweli. Kidume nikajitosa nika mwaga Sera kumbe mtoto alikua ananitamani kitambo jinsi nilivyokua naishi na x wife wangu.
hapakua na hiyana zaidi ya kusema yes tena big yes.
Tumeanza mahusiano nimegundua ni msiri saana anaogopa hata rafiki yake wa karibu kujua uhusiano wetu.
Nimeshtuka mpaka nawaza pengine ndo mana anasifika ametulia au ni vip hata sielewi.
Anajua Ku handle mwanamume vilivyo japo anaonesha si mzoefu saaana kwenye mambo yetu (X) sa sielewi ntashushiwa kitu chenye ncha Kali tena kama alichonichoma nachoX wife wangu au nitulie na huyu anaesemwa vizuri na ulimwengu mzima japo ana mapenzi ya siri mnoo?
We are sending back upAlphaOne, this is ZuluOne
Man Down, I repeat Man Down
Requesting Medevac immediatelly
Over and out
Ndio was wasi aiseehWatu wa siri huwa ni malaya kinyama wanabebwa na usiri wao tu
Lazima aiseeh ngoja ni set mipango mingi zaidiHao wakimya, wanaosifika Wana adabu...... Kua makin usijiingize kweny ndoa nae haraka .... Mchunguze kwa kina kirefu
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app