Binti mweusi zaidi aingia kwenye kitabu cha rekodi cha Guinness

Binti mweusi zaidi aingia kwenye kitabu cha rekodi cha Guinness

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
1638132372699.jpg

Mkazi wa Gambele nchini Ethiopia ambaye kwa uasili ni mtu wa Sudan Kusini kutoka kabila la Dinka bi Nyakim Gatwech mwenye umri wa miaka 27 ndio kwa sasa mtu mweusi zaidi duniani.

Nyakim anajulikana kwa ngozi yake yenye weusi asilia.

Makofi kwake
 
View attachment 2026655
Mkazi wa Gambele nchini Ethiopia ambaye kwa uasili ni mtu wa Sudan Kusini kutoka kabila la Dinka bi Nyakim Gatwech mwenye umri wa miaka 27 ndio kwa sasa mtu mweusi zaidi duniani.

Nyakim abajulikana kwa ngozi yake yenye weusi asilia.

Makofi kwake

Hayuko vibaya kwa hakika katupeperushia vyema bendera yetu ikiwamo 😁😁
 
View attachment 2026655
Mkazi wa Gambele nchini Ethiopia ambaye kwa uasili ni mtu wa Sudan Kusini kutoka kabila la Dinka bi Nyakim Gatwech mwenye umri wa miaka 27 ndio kwa sasa mtu mweusi zaidi duniani.

Nyakim abajulikana kwa ngozi yake yenye weusi asilia.

Makofi kwake
Wanakuaga wamoto hawa...halaf vere red
 
Back
Top Bottom