Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
View attachment 2026655
Mkazi wa Gambele nchini Ethiopia ambaye kwa uasili ni mtu wa Sudan Kusini kutoka kabila la Dinka bi Nyakim Gatwech mwenye umri wa miaka 27 ndio kwa sasa mtu mweusi zaidi duniani.
Nyakim abajulikana kwa ngozi yake yenye weusi asilia.
Makofi kwake
The nocturnals tunapendaga giza, yaaani sana. Naliitwanaga BujikuHuyo si mweusi tu bali ni giza
Rangi ya ukweliThe nocturnals tunapendaga giza, yaaani sana. Naliitwanaga Bujiku
Ushaanza wakati tulishasahautunaomkumbuka GiLesI MtIkIsIKo wa Bujibuji tukuje tumchokoze pris.
Zeruzeru mweusiAna rangi nyeusi ya kutosha
Gilesi kama gilesitunaomkumbuka GiLesI MtIkIsIKo wa Bujibuji tukuje tumchokoze pris.
Wanakuaga wamoto hawa...halaf vere redView attachment 2026655
Mkazi wa Gambele nchini Ethiopia ambaye kwa uasili ni mtu wa Sudan Kusini kutoka kabila la Dinka bi Nyakim Gatwech mwenye umri wa miaka 27 ndio kwa sasa mtu mweusi zaidi duniani.
Nyakim abajulikana kwa ngozi yake yenye weusi asilia.
Makofi kwake
Huo uchokozi sasa.tunaomkumbuka GiLesI MtIkIsIKo wa Bujibuji tukuje tumchokoze pris.
Ofisi makini sana...pipo nyeupe hakunaga kitu ni show off za bureWanakuaga wamoto hawa...halaf vere red
Hahahahahaha umenikumbusha mbali sana enzi za GiLesi hahahahaha JF kiboko.tunaomkumbuka GiLesI MtIkIsIKo wa Bujibuji tukuje tumchokoze pris.