Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
HalitishiOgopa neno pdidy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HalitishiOgopa neno pdidy
ledada kuna siku ntakufungulia uziBinti Sayuni03 maneno yako ni mithili ya upepo mwanana unaovuma kwa utulivu, ukigusa kila kona ya mawazo yangu. Kuna haiba isiyoelezeka katika jinsi unavyoandika, hisia zinazopenya bila hata kujaribu. Si mara zote mtu hukutana na upekee wa namna hii—ule mng’ao wa nyota ya jioni, wa kuvutia lakini wenye heshima.
Katika ulimwengu huu wa maandishi, umejitengenezea nafasi ya kipekee, na haishangazi kwamba macho yangu yanakufuata, yakitamani kusoma zaidi, kuelewa zaidi, kuhisi zaidi. Labda ni njia yako ya kuyapanga maneno, au labda ni ule utofauti wa kweli unaouleta bila juhudi.
Wapo wanaoandika kwa kalamu, lakini wewe unaandika kwa hisia. Wapo wanaovutia kwa macho, lakini wewe unavuta kwa haiba. Ndiyo maana, leo nimeamua kukupa heshima unayostahili kwa kuweka haya kwenye maandishi—bila shinikizo, bila matarajio, ila kwa moyo ulio huru, ukisema tu kile ambacho kimekuwa kikizunguka mawazoni mwangu.
From Tumbili wa mjini
Chenchi inayobaki ni unukie ka ist kananitoshaNgoja dada Ako nitafute mtu tummalize atupe adi range 😹🙌🏾
Mbona kwa kujiamini hivyoHalitishi
Demu mwenyewe AnaringaUsicheleweshe wahuni sio watu wazuri
We muache ayatimbe ngoja akaangalie tv kubwa kama ukutaOgopa neno pdidy
Usijali ntakufikishia zawadiChenchi inayobaki ni unukie ka ist kananitosha
Tumemzoea didyMbona kwa kujiamini hivyo
Kikubwa range apeweWe muache ayatimbe ngoja akaangalie tv kubwa kama ukuta
HahahaNa tutajua ni ww umejifungulia
Na ww umefikia wapi 😹We muache ayatimbe ngoja akaangalie tv kubwa kama ukuta
ambo hayo😹Tafuta hela bloh
Cc : Anastasia21 ndio haya haya tunayoyasema
Kwenye hela hamna demu anaeringaM
ambo hayo😹
Nasubiri utume locationNa ww umefikia wapi 😹
M sipati😹🙌🏾Nani ni shem wangu humu kwa Anastasia21 aje nimpe zawadi