Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
- Thread starter
- #101
Kiaje Elezea kidogoHalafu hakuwa direct hawa hata usipoongea sana wanakupa tu wakiamua mie nina ushuhuda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiaje Elezea kidogoHalafu hakuwa direct hawa hata usipoongea sana wanakupa tu wakiamua mie nina ushuhuda
We si ulisema demu Mmoja,alisema unamchafu,safari hii kwa huyu hailegei?!!Sawa blaza nataka nianze nae humu nina hakika atakua wangu
Lakn kanipenda hvyo hivyo sema ww unaniharibia kumkuwadia kwa wenye helaLabda usimzalishe hatutaki baadae watoto waje kumlaumu mama yao
ShemejHakuwezi huyo nina jicho la rohoni
Mimi kama mdogo wake sitaki shem mbaya maana nitahamia kwakeLakn kanipenda hvyo hivyo sema ww unaniharibia kumkuwadia kwa wenye hela
Sawa naona mambo yasiwe mengi😹Dada Ako ataliwa na rage hupati
Anhaa we kuweza😹🙌🏾Na mimi nitakuja niishi kwa shem 😍😍
Kuna watu wanajua kudanganya humu JF jmnBinti Sayuni03 maneno yako ni mithili ya upepo mwanana unaovuma kwa utulivu, ukigusa kila kona ya mawazo yangu. Kuna haiba isiyoelezeka katika jinsi unavyoandika, hisia zinazopenya bila hata kujaribu. Si mara zote mtu hukutana na upekee wa namna hii—ule mng’ao wa nyota ya jioni, wa kuvutia lakini wenye heshima.
Katika ulimwengu huu wa maandishi, umejitengenezea nafasi ya kipekee, na haishangazi kwamba macho yangu yanakufuata, yakitamani kusoma zaidi, kuelewa zaidi, kuhisi zaidi. Labda ni njia yako ya kuyapanga maneno, au labda ni ule utofauti wa kweli unaouleta bila juhudi.
Wapo wanaoandika kwa kalamu, lakini wewe unaandika kwa hisia. Wapo wanaovutia kwa macho, lakini wewe unavuta kwa haiba. Ndiyo maana, leo nimeamua kukupa heshima unayostahili kwa kuweka haya kwenye maandishi—bila shinikizo, bila matarajio, ila kwa moyo ulio huru, ukisema tu kile ambacho kimekuwa kikizunguka mawazoni mwangu.
From Tumbili wa mjini
Dah mbona kama ni yeye kabisaAnhaa we kuweza😹🙌🏾
Nimepiga tizi lakufa mtu na pia yule alikua na bwawaWe si ulisema demu Mmoja,alisema unamchafu,safari hii kwa huyu hailegei?!!
Demu mwenyewe Anaringa
Mi nakutaka wewe lesista 😍😍😍View attachment 3267460🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Achana nae mwanangu mademu mbona wapo wengii
Jamani hii sikuwa nimeiona kabisa mkuu, Asante sana kwa pongezi zako😊🙏Binti Sayuni03 maneno yako ni mithili ya upepo mwanana unaovuma kwa utulivu, ukigusa kila kona ya mawazo yangu. Kuna haiba isiyoelezeka katika jinsi unavyoandika, hisia zinazopenya bila hata kujaribu. Si mara zote mtu hukutana na upekee wa namna hii—ule mng’ao wa nyota ya jioni, wa kuvutia lakini wenye heshima.
Katika ulimwengu huu wa maandishi, umejitengenezea nafasi ya kipekee, na haishangazi kwamba macho yangu yanakufuata, yakitamani kusoma zaidi, kuelewa zaidi, kuhisi zaidi. Labda ni njia yako ya kuyapanga maneno, au labda ni ule utofauti wa kweli unaouleta bila juhudi.
Wapo wanaoandika kwa kalamu, lakini wewe unaandika kwa hisia. Wapo wanaovutia kwa macho, lakini wewe unavuta kwa haiba. Ndiyo maana, leo nimeamua kukupa heshima unayostahili kwa kuweka haya kwenye maandishi—bila shinikizo, bila matarajio, ila kwa moyo ulio huru, ukisema tu kile ambacho kimekuwa kikizunguka mawazoni mwangu.
From Tumbili wa mjini
oveJamani hii sikuwa nimeiona kabisa mkuu, Asante sana kwa pongezi zako😊🙏
Ukinikuta sina miguu je😁😁Nakupenda serious my love
ove
Muhimu mbususu iwepo hayo mengine yanaelezekaUkinikuta sina miguu je😁😁
Duh! Kama na hiyo haipo 😁😁Muhimu mbususu iwepo hayo mengine yanaelezeka
😂😂 Tutatoboa iwepo hata fekiDuh! Kama na hiyo haipo 😁😁
Hatari sana😁😁😂😂 Tutatoboa iwepo hata feki
Tuyajenge nimetokea kukupenda ghafla tuHatari sana😁😁