FeminineWTF is this??!! Staunch simping culture??!! Mental illness??!!. Stupid
Do you know Swahili??WTF is this??!! Staunch simping culture??!! Mental illness??!!. Stupid
Demu ana maex kama woooooteeew na yeye anatakaKwani keshamalizana na maex kupasha kiporo?
Wakati mwingine bora ufanye jambo na mtu mwenye uzoefu...Demu ana maex kama woooooteeew na yeye anataka
Aaahyaaah ππ»ββ‘οΈ ππ»ββ‘οΈ ππ»ββ‘οΈ ππ»ββ‘οΈ
Dadeeeki haya vp tubepesa mkuu ulitow Hela au??πππWakati mwingine bora ufanye jambo na mtu mwenye uzoefu...
Mashart magumu nikaipuuzaDadeeeki haya vp tubepesa mkuu ulitow Hela au??πππ
Binti Sayuni, wewe tambua tu hakuna mtu hapa. Na uzuri sisi wanaume wenyewe huwa tunatambuana vizuri kabisa. Hapa ni chenga tu mdogo wangu.Wakuu
Huyu member ananivutia kwa kweli,mada zake,namna ya uwasilishaji wa topic zake unanivutia,ni moja ya wadada wa nguvu mno humu jukwaani
Nakupenda sana Binti Sayuni03 naomba tutafutane pm tuyajenge na watu wetu wa nguvu humu MMU watafurahi tukiwapa mrejesho kuwa tumeoana. please nitumie namba yako pm
natanguliza shukrani.
Yaan kimasihala mdogo wangu anaibiwa πΉππΎTumbili wa mjini tunda unalopenda litaliwa kimasihara huku π
Akhuuuππ mimi naogopa nisije kuumia tenaWakuu
Huyu member ananivutia kwa kweli,mada zake,namna ya uwasilishaji wa topic zake unanivutia,ni moja ya wadada wa nguvu mno humu jukwaani
Nakupenda sana Binti Sayuni03 naomba tutafutane pm tuyajenge na watu wetu wa nguvu humu MMU watafurahi tukiwapa mrejesho kuwa tumeoana. please nitumie namba yako pm
natanguliza shukrani.
Sawa kaka nimekuelewa, nyie wenyeji ndiyo mnawajua vizuri watu wa humu jukwaani mimi siwezi kupingaBinti Sayuni, wewe tambua tu hakuna mtu hapa. Na uzuri sisi wanaume wenyewe huwa tunatambuana vizuri kabisa. Hapa ni chenga tu mdogo wangu.