Ukute Binti Sayuni03 ni mojawapo ya wale mabaunsa waliowazuia SIMBA SC kufanya mazoezi na kusababisha derby kutofanyika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binti Sayuni03 unamjua huyu Tate Mkuu kwa taarifa yako kila mwamba ngoma huvutia upande wake. kaa chonjo kipenzi changu.Sawa kaka nimekuelewa, nyie wenyeji ndiyo mnawajua vizuri watu wa humu jukwaani mimi siwezi kupinga
Wewe jamaa jana tuu umeleta uzi umebakwa ukafumaniwa ukalipishwa fine 1.5m hujakoma tuu kutongoza wake za watu?Wakuu
Huyu member ananivutia kwa kweli,mada zake,namna ya uwasilishaji wa topic zake unanivutia,ni moja ya wadada wa nguvu mno humu jukwaani
Nakupenda sana Binti Sayuni03 naomba tutafutane pm tuyajenge na watu wetu wa nguvu humu MMU watafurahi tukiwapa mrejesho kuwa tumeoana. please nitumie namba yako pm
natanguliza shukrani.
Kumbe wote mko sawa eeh! Nitachukua tahadhari na nyie😁😁Binti Sayuni03 unamjua huyu Tate Mkuu kwa taarifa yako kila mwamba ngoma huvutia upande wake. kaa chonjo kipenzi changu.
Hebu ngoja nikaupitie😁😁😁Wewe jamaa jana tuu umeleta uzi umebakwa ukafumaniwa ukalipishwa fine 1.5m hujakoma tuu kutongoza wake za watu?
Weeee😁😁😁🙌Ukute Binti Sayuni03 ni mojawapo ya wale mabaunsa waliowazuia SIMBA SC kufanya mazoezi na kusababisha derby kutofanyika.
Why🤔Thread 'Binti sayuni, can you be mine please??' Binti sayuni, can you be mine please??
Binti Sayuni03 umeona huyu jamaa kazi yàke kuleta chai humu? Hayupo serious na wewe.chai mkuu
Kweli hata mimi nimeliona hilo🤔Binti Sayuni03 umeona huyu jamaa kazi yàke kuleta chai humu? Hayupo serious na wewe.
🙄🙄tenaKwani keshamalizana na maex kupasha kiporo?
Unazingua demu nishamuwahi unamtaka kama vipi na wewe uwe kifungashioWakuu
Huyu member ananivutia kwa kweli,mada zake,namna ya uwasilishaji wa topic zake unanivutia,ni moja ya wadada wa nguvu mno humu jukwaani
Nakupenda sana Binti Sayuni03 naomba tutafutane pm tuyajenge na watu wetu wa nguvu humu MMU watafurahi tukiwapa mrejesho kuwa tumeoana. please nitumie namba yako pm
natanguliza shukrani.
Mbona sina taarifa, kuwa uliniwahi😁😁Unazingua demu nishamuwahi unamtaka kama vipi na wewe uwe kifungashio
Mbona sina taarifa, kuwa uliniwahi😁😁
Binti yangu umekuja na huku tena,? Kumbuka jina hili tulikupa kama mwana wa mtumishi.Sawa kaka nimekuelewa, nyie wenyeji ndiyo mnawajua vizuri watu wa humu jukwaani mimi siwezi kupinga
Nimekuja kusikiliza ujumbe tu mkuuB
Binti yangu umekuja na huku tena,? Kumbuka jina hili tulikupa kama mwana wa mtumishi.