Binti Sayuni popote ulipo nakupenda, na wadau wa JF watafurahi kutuona tuko pamoja

Binti Sayuni popote ulipo nakupenda, na wadau wa JF watafurahi kutuona tuko pamoja

Wakuu
Huyu member ananivutia kwa kweli,mada zake,namna ya uwasilishaji wa topic zake unanivutia,ni moja ya wadada wa nguvu mno humu jukwaani

Nakupenda sana Binti Sayuni03 naomba tutafutane pm tuyajenge na watu wetu wa nguvu humu MMU watafurahi tukiwapa mrejesho kuwa tumeoana. please nitumie namba yako pm

natanguliza shukrani.
Waziri Mkuu alikua Sahihi sana!!
 
Back
Top Bottom