Binti Sayuni popote ulipo nakupenda, na wadau wa JF watafurahi kutuona tuko pamoja

Wewe jamaa jana tuu umeleta uzi umebakwa ukafumaniwa ukalipishwa fine 1.5m hujakoma tuu kutongoza wake za watu?
 
Unazingua demu nishamuwahi unamtaka kama vipi na wewe uwe kifungashio
 
Mbona sina taarifa, kuwa uliniwahi😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…