Inavyonihusu ni kama hivi ulipoiona tu hii habari ukaja mbio mbio ukaisoma. Ma shaa Allah.
Umeona mwenzako Mkristo tena Bilionea kakubali kuolewa na Muislam?
Wenye akili watafungua Qur'an waisome waone huu Uislam unafundisha nini haswa. Mambo kama haya ndio hupelekea makundi kwa makundi wakarudi na kuufahamu Uislam.
Wewe hutaki kujuwa Uislam una fundisha nini haswaa? Vipi kitabu cha hawa Waislam (Qur'an) iwe ndicho kitabu pekee kilichohifadhiwa na watu wengi duniani wa Mataifa mbali mbali, wa lugha mbali mbali, weusi kwa weupe, matajiri kwa masikini. Kuna kipi hasa kinachofanya uhiadhi wake uwe mwepesi kwa yeyote yule?
Ni popoma tu ambalo halijiulizi maswali hayo.
Tatizo linapokuja swala waislamu akili zinaendaga makalioni sjui mnajua Kila ambaye sio Mwislamu ni mkristo Sasa nani kakwambia Mimi ni mkristo Punguza wehu we mbibi
Na kuhusu Quran Hii hii ambayo nimeisoma yenye sura 14 au Kuna nyingine maana ni ujinga tu hakuna jipya na la maana sjui mara jua linatua matopeni, Ardhi Iko flat, shahawa zinatoka mgongoni ni matakataka kitabu hata mpangilio (chronological order) imeshindikana alafu unaanza kujisifia punguzeni wehu nyie waarabu weusi nywele fupi kama majani ya kiangazi
Na Kwa bahati mbaya karibu nusu ya watu wote waliokariri Quran hawajui maana ya walichokilundika kichwani
Na unajua kuhusu uwepo wa hizi Aya ndani ya Quran
33:37 - Na ulipo mwambia yule Mwenyezi Mungu aliye mneemesha, nawe ukamneemesha: Shikamana na mkeo, na mche Mwenyezi Mungu. Na ukaficha nafsini mwako aliyo taka Mwenyezi Mungu kuyafichua, nawe ukawachelea watu, hali Mwenyezi Mungu ndiye mwenye haki zaidi kumchelea. Basi Zaid alipo kwisha haja naye tulikuoza wewe, ili isiwe taabu kwa Waumini kuwaoa wake wa watoto wao wa kupanga watapo kuwa wamekwisha timiza nao shuruti za t'alaka. Na amri ya Mwenyezi Mungu ni yenye kutekelezwa.
33:50 - Ewe Nabii! Tumekuhalalishia wake zako ulio wapa mahari yao, na ulio wamiliki kwa mkono wako wa kulia katika alio kupa Mwenyezi Mungu, na mabinti ami zako, na mabinti wa shangazi zako, na mabinti wa wajomba zako, na mabinti wa dada za mama yako walio hama pamoja nawe; na mwanamke Muumini akijitoa mwenyewe kwa Nabii, kama mwenyewe Nabii akitaka kumwoa. Ni halali kwako wewe tu, si kwa Waumini wengine. Sisi tunajua tuliyo wafaridhia wao katika wake zao na wanawake ilio wamiliki mikono yao ya kulia. Ili isiwe dhiki kwao. Na Mwenyezi
33:53 - Enyi mlio amini! Msiingie nyumba za Nabii ila mpewe ruhusa kwenda kula, sio kungojea kiwive. Lakini mtakapo itwa basi ingieni, na mkisha kula tawanyikeni, wala msiweke mazungumzo. Hakika hayo yanamuudhi Nabii naye anakustahini, lakini Mwenyezi Mungu hastahi kwa jambo la haki. Na mnapo wauliza wakeze haja waulizeni nyuma ya mapazia. Hivyo ndio usafi zaidi kwa nyoyo zenu na nyoyo zao. Wala haikufalieni kumuudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu, wala kuwaoa wake zake baada yake kabisa. Hakika jambo hilo ni kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu.
Futeni kwanza hizi Aya ndani ya Quran ndo uanze kunipigi mikelele yako