Binti wa Bill Gates, waliosema hayawi sasa yamekuwa...

Binti wa Bill Gates, waliosema hayawi sasa yamekuwa...

Dini tumeletewa na Waarabu na wamishionari kabla yao kuja huku kwetu tulikuwa na tamaduni zetu(imani)....Wewe mwenyewe wazazi wako walikuwa waislam na wewe ukaunga tela,ungezaliwa na wazazi wakristu napo ungeunga tela.

Kwani muislam hafai kuoa mkristu? Kuna wengine wakristu/waislam lakini hata mlango wa kanisa/msikiti hawajui umekaaje.
 
Dini tumeletewa na Waarabu na wamishionari kabla yao kuja huku kwetu tulikuwa na tamaduni zetu(imani)....Wewe mwenyewe wazazi wako walikuwa waislam na wewe ukaunga tela,ungezaliwa na wazazi wakristu napo ungeunga tela.

Kwani muislam hafai kuoa mkristu? Kuna wengine wakristu/waislam lakini hata mlango wa kanisa/msikiti hawajui umekaaje.
Tatizo lako kubwa linaonesha huelewi maana ya dini ni nini. Huelewi maana ya Uarabu ni nini. Huelewi maana ya Uislam ni nini. Huelewi maana ya binti wa Bill Gates kuolewa na Muafrika Muislam ni ninoi.


Una mengi sana ya kujifunza, ikiwa tu utaondoa minyonyoro uliyofungwa nayo kwenye ubongo wako.
 
Tatizo lako kubwa linaonesha huelewi maana ya dini ni nini. Huelewi maana ya Uarabu ni nini. Huelewi maana ya Uislam ni nini. Huelewi maana ya binti wa Bill Gates kuolewa na Muafrika Muislam ni ninoi.


Una mengi sana ya kujifunza, ikiwa tu utaondoa minyonyoro uliyofungwa nayo kwenye ubongo wako.
Hakuna lolote.

Wewe na bwana Mohamed Said ni watu mnaowaza dini yenu wakati wote....

Mpaka kwenye masuala yasiyohusu dini!
 
Tatizo lako kubwa linaonesha huelewi maana ya dini ni nini. Huelewi maana ya Uarabu ni nini. Huelewi maana ya Uislam ni nini. Huelewi maana ya binti wa Bill Gates kuolewa na Muafrika Muislam ni ninoi.


Una mengi sana ya kujifunza, ikiwa tu utaondoa minyonyoro uliyofungwa nayo kwenye ubongo wako.

Wewe bibi unatoa jibu kama haujashirikisha ubongo? Sasa umeandika nini?

Inaonekana haujasoma somo la history.

Waarabu ndiyo wamefanya ukaujua uislam.
 
Huyo Kijn itKuw amefanyiw Vetting ya kutoshA.
 
Hawa jamaa wanapenda pilau sana! wanaongoza Duniani kwa kula pilu!! maskini asa binti huyu wa watu keshazoeshwa pilau nando kafuata pilau! baada ya kukolea mama weeeeeee pwiii
 
Back
Top Bottom