Binti wa Bill Gates, waliosema hayawi sasa yamekuwa...

Binti wa Bill Gates, waliosema hayawi sasa yamekuwa...

Ma shaa Allah, tazama video clip hiyo.


AlhamduliLlah uliyoyaandika ni sifa kubwa sana kwangu. Ulitaka nikufie wewe? Unanshangaza!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wamependana sababu ya Imani zao au UTU wao ?

Wewe Foxy kama nakupenda unadhani hata ungekuwa ni Rastafarian Ningekuchukia ? (Unless otherwise kama nina chembechembe za Ubaguzi ) ila naamini mtu ni zaidi ya Imani yake
 
Niliwahi kuleta habari humu, hii: Ma shaa Allah, Bint wa Bill Gates kuolewa na Muislam


Sasa yamekuwa kweli...




Mtakufa navyo vijiba vya roho.

billgate mwenyewe mbona ni shetani aisee, ni agent wa kuzimu kabisa, kuna maagano wanafanyaga hao watu waliounganisha utajiri wao kuzimu (freemasons) ambayo yanaathiri hadi kizazi cha nne. kwa hiyo hata huyo mtoto wake ana connections za kuzimu na hatapona hadi atakapookoka kwa Kumkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozo wa maisha yake, na si kwa dini nyingine yeyot ile. unakumbuka sakata lake la corona, na kabla hapo aliposemekana kusema kuwa kuna umuhimu kupunguza idadi ya watu duniani, hasa waafrica ili resourses zitumike....

kwahiyo Faiza sasahivi Billgate ni babamkwe wako....
 
Utakufa nacho, kijiba cha roho. Mtoto yupo Misr kwa sasa.
Mmh! Kukurupuka kote huko mi nikafikiri yupo kwako; kwamba kijana wako ndiyo kaoa huyo binti wa tajiri! Kumbe Misri!! Sasa wewe unapata faida gani? Na cha ajabu na kipya ni kipi hapo?
Angeolewa na kijana wako ningekupongeza.
 
billgate mwenyewe mbona ni shetani aisee, ni agent wa kuzimu kabisa, kuna maagano wanafanyaga hao watu waliounganisha utajiri wao kuzimu (freemasons) ambayo yanaathiri hadi kizazi cha nne. kwa hiyo hata huyo mtoto wake ana connections za kuzimu na hatapona hadi atakapookoka kwa Kumkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozo wa maisha yake, na si kwa dini nyingine yeyot ile. unakumbuka sakata lake la corona, na kabla hapo aliposemekana kusema kuwa kuna umuhimu kupunguza idadi ya watu duniani, hasa waafrica ili resourses zitumike....

kwahiyo Faiza sasahivi Billgate ni babamkwe wako....
Vipi wewe si shetani?
 
Ushahidi wa nini?! Usipende ligi. Kama umeshawahi kuwa na ukaribu ama kuishi na hawa watu utaelewa ninachosema.
Nitaamini vp Kama haunipi ushahidi? Kwahiyo wewe umewahi kuishi na mawakala wa shetani?
 
Back
Top Bottom