Binti wa Dkt. Wilbert Kleruu atoa ya moyoni

True, Kleruu alikuwa mshenzi sana, hata Nyerere aliamua kuhakikisha Saidi ananyongwa sababu jamaa ukiacha kwamba alimuua swahiba wake Ila pia alikuwa anapinga siasa ya vijiji vya ujamaa. Ile ilikuwa wanachukua mashamba yake ambayo alikuwa amefyeka na anayalima miaka yote, kumbuka Mwamwindi hakuwa mkulima wa mkono kama watunwanavyodhani, alikuwa tajiri pia.

Kleruu alikuwa na personal issues na Saidi huwezi kumfuata mtu shambani na maneno ya kshfa ingali unataka kuchukua mashamba yake na mke mdogo unamlia na amekaa kimya tu, huyo sio mhehe.
 
Binafsi nampongeza huyu bint wa marehemu Kreluu kwa nia ya kutafuta uhusiano mzuri na familia ya marehemu Mwamwidi.Wanafamilia hawana makosa kuhusiana na tukio hilo.
So as long baba zao wote walikufa kwa tukio moja,mmoja kupigwa risasi na mwingine kunyongwa basi(ingawa siungi mkono uaji kwa njia yo yote) naweza kusema haki ilitendeka kwa kila marehemu (fair n balance)!
 
Hii story haijabalance,angehojiwa na mtoto wa Yule mkulima aliyetwanga Huyu RC risasi,
DR kleruu,alikuwa kama Makonda au Sabaya,au Ali Hapi wa leo,alisimamia sera za Nyerere kwa jeuri,nyodo,bila busara
 
EVA Wewe una roho ya mungu ni kweli huwezi lipiza kisasi maana aliyetenda kosa ni mwingine kikubwa ni kuweka maridhiano kumkimbiza shetani maana ndio anafurahia mambo ya kisasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…