Mkuu EMT, kwanza asante kwa hii kitu!, mimi ni interested party nilisoma darasa moja na mtoto wa Kleruu aitwae Edwin pale Ilboru!.
Jamaa was humble and down to earth!.
Mwamwindi na mhindi mmoja ndie watu pekee Nyerere alisaini death warrants zao za Capital punishment kutekelezwa, nasikia katika utekelezaji ilisumbua, baada ya kunyogwa mara ya kwanza, hakunyongeka na kufa, then ilibidi kitu fulani kifanyike ndipo alikufa, mtu akishahukumiwa kunyongwa, ukinyongwa bila kufa unapaswa kuachiliwa, maana utekelezaji wa adhabu ilikuwa ni "kunyongwa"
Nasikia ikatolewa order, sio tuu anyongwe, bali ni "anyongwe mpaka afe!", from then hukumu ya kunyongwa inapaswa kuandika "Anyongwe Mpaka Afe!"
Kiukweli hukumu hii ni "barbaric!" thanks God, we'll do away kwenye katiba mpya!, japo kwenye rasimu bado ipo!.
Pasco.