Binti wa jirani yetu aliwahi kuchukuliwa kwenda kusomeshwa kumbe anapelekwa kwenye mafunzo ya Ugaidi Al Shabab Kenya

Binti wa jirani yetu aliwahi kuchukuliwa kwenda kusomeshwa kumbe anapelekwa kwenye mafunzo ya Ugaidi Al Shabab Kenya

NINACHO JUA YESU KRISTO ANAFUNDISHA UPENDO TENA ANASEMA UMPENDE ADUI YAKO.

SISI HUKU HATUFUNDISHWI KUCHINJA WATU HATA WAISLAM TUNAFUNDISHWA KUWAPENDA NA KUWAFUNDISHA MUNGU WA KWELI ANAYE TENDA KAZI KWA MWANAE YESU KRISTO. View attachment 2808921
Hayo mafunzo yamefeli pakubwa,badala yake tunaona kinyume chake,pitieni upya njia mnazotumia kufundisha a
 
Miezi minne usome uislamu 😅😅acha porojo ....Naweza kukupa hit za wale al shabab na mafunzo yako mfano kuna kijana alijinyonga maana alikamatwa katika tukio la westgate .

Wale jamaa ni watu ambao ni kama Serikali na wala hawafundishi chuki dhidi ya wengine but wale wanataka kuishika somalia iwe chini yao ...Wanaofanya kazi na kuchukuliwa wana mtandao wao ambao wanalipwa na wale jamaa kuna maeneo(majimbo) wanakusanya ushuru na ishu wa kuchukuwa wanawake hapan .
 
Huwezi kusoma uislam kwa kiarabu kwa miezi minne ukafaulu,hiyo ni sawa ufundishwe ukiristo kwa kiingereza miezi minne na ufaulu/umudu,acha uwongo,kwani ukiendelea kumuomba yesu bila chuki kwa dini zingine hutoupata ufalme wa milele!?
Nafikiri ni lugha ya Kiarabu pamoja na Elimu ya awali ya Uislam ndiyo aliyofundushwa katika miezi minne ya awali.
 
Roho mbaya zinapandikizwa.
Mtu anakuwa brainwashed dizaini anakuwa kama zombi hivi, akiambiwa afanye anafanya tu.

Mambo mengi wanafanya kinyume na mafundisho ya dini, Kuna haja ya kusoma dini saana
Hata hapa jukwaani tuna itikadi kali akina FaizaFoxy Malaria 2 Alwaz hawa wako brain washed ni kama marobot au misukule aka mazombie
 
Hata hapa jukwaani tuna itikadi kali akina FaizaFoxy Malaria 2 Alwaz hawa wako brain washed ni kama marobot au misukule aka mazombie
Lakini Cha ajabu badala ya kuacknowledge kuwa Kuna tatizo kama hili na kuja na solutions ili kuzuia vijana wao kurubuniwa kuingia katika ugaidi, wao watakuja kupiñga na kuvunga kama hakuna shida yoyote na hizi ni propaganda tu. Lakini matukio ya Alshaban na Boko Haram tunayaona, Bado watapinga na kusema ni propaganda za wazungu

Hapa tu ndo huwa naona kuwa huwa wanasapoti hivi vitendo, na itikadi za kukanusha ni juhudi tu za kuunafikia au kuupotosha umma..inaitwa taqqiya
 
Back
Top Bottom