Binti wa kiislam alikataa dili la pombe kwa vile dini yake hairuhusu

Mbona hapo kwwnye riba wamama mwajuma wengi wapo kwny vikoba huko riba kama kawa
 
Mbona hapo kwwnye riba wamama mwajuma wengi wapo kwny vikoba huko riba kama kawa
Aisee unaniuliza mimi? Mungu anajisifia ktk Quran kuwa amemuumba binadamu kuwa kiumbe pekee cheke akili.

Hivyo kila mtu anaweza kutambua zuri na baya.
 
Aisee unaniuliza mimi?? Mungu anajisifia ktk Quran kuwa amemuumba binadamu kuwa kiumbe pekee cheke akili.

Hivyo kila mtu anaweza kutambua zuri na baya.
Nimetoa tuu mtazamo. Mwisho wa siku ni kweli kila mtu atatambua mwenyewe baya na zuri
 
kwahiyo sheikh wangu unawaasa nini wale ambao wanataka kuua wenzao kisa kitimoto??
Kwenye Suala la Kitimoto ni kwamba imezuiliwa ulaji wa nyama za wanyama mbali mbali.

WANYAMA WENYE MENO YA KUSHAMBULIA NI HARAMU.

Wanyama wasio na kwato na ambao hawacheui ni HARAMU.

Wanyama wenye kucha za kushambulia pia hawaliwi.

Sasa hapo katika kuelezea ndipo ilitolewa mfano wa wanyama hao ambapo NGURUWE ameharamishwa.

Na hapa ieleweke wazi, M/Mungu hakuosei, kila kilichokatazwa kina athari kwa binadamu.
 
Nguruwe ikipikwa vizuri na ikaiva vizuri, Ina madhara Gani ? Unaweza kuleta uthibitisho wa kisayansi/kidaktari kuwa nguruwe hata uipike vizuri na iive vipi Bado itakuwa na madhara kwa binadamu ?

Maana from what I can scientifically prove ni kwamba nyama yoyote Ile isipopikwa vizuri na kuiva bhas LAZIMA iwe na madhara kwa binadamu, Na pia ulaji wa nyama yoyote Ile kupindukia una madhara kwa binadamu.
 
Naomba tofauti kati ya 9 na 11
 
Naomba tofauti kati ya 9 na 11
Zinaa imejumuishwa mambo yote ikiwa ni KUMTAMANI MTU KIMAPENZI, KUMTONGOZA, KUKUMBATIANA, NK

KUZINI ni kitendo halisi cha kufanya mapenzi. Bila ya ndoa.

Unaweza kuzini kwa kununua kahaba nk

Unaweza fanya zinaa au kukaribia zinaa kwa kumtamani mtu, kumtongoza nk.

Kumbuka USIKARIBIE ZINAA.
 
Wakati kila siku anafanywa mambo ya ajabu...
 
tofauti ya KUZINI NA ZINAA tafadhali
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo namba 4 ina mkaanganyiko, si tunaambiwa huko peponi kutakuwa na vijito vya pombe, sasaa inakuwaje dhambi!!???
 
Hiyo namba 4 ina mkaanganyiko, si tunaambiwa huko peponi kutakuwa na vijito vya pombe, sasaa inakuwaje dhambi!!???
Mwenye Uislam POMBE NDIO BABA WA MAASI YOTE, YAAN POMBE NDIO BABA WA DHAMBI DUNIANI.

Pombe, inapelekea kukufuru Mungu, Kuzini, Kutukana, kutoswali, kutotoa Sadaka & Dhaka, Ugomvi, udhariri, Mauaji nk

Dhambi nyingi zinatokana na ulevi, POMBE ina athari kubwa sana pengine kuliko vitu vingi duniani hapa.
 
Hamna kitu nachukia kama unafiki wa kidini, angetoa sababu zingine bila kutaja dini.....watu hujifanya wao ndio watakatifu kwenye dini yao ila kila siku mabomu na milipuko ya mabomu na chuki na vita.
 

Kuiba mna ruhusa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…