Binti wa kishua kanipenda ila nina mke na mtoto

Acha u Nyandindi, yaani mtu akikuomba TU mtoke tayari unaona kakupa mwandu? Baaaah bwana wewe bahh.
Hahaaa umenichekesha na kunikumbusha mengi sana.
Mosi bifu la Philipo Nyandindi a.k.a O-Ten mshamba wa Moro akajiunga na watoto wa East Coast Upanga akina AY akaukataa ubini wake.
Afande Sele akamchana kwenye wimbo.

Pili umeongea kiswahili cha 'Ntwara' a.k.a Mtwara Mwandu kwa maama ya Mbunye au kipochi manyoya... na msemo wa 'bhaaa'ni kimakonde zaidi... wewe utakuwa mhenga kijana wa late 90s hadi early 2000s.
 
Hauna picha yake maana hata nami kuna binti wa kishua ananimaindi.......ebu tuwekee tumuone!
 
Nenda kamsikilize kwanza , mahusiano kati ya mwanamke na mwanamme sio kila siku ni mapenzi
 
Kasema utenge siku mfahamiane zaidi wewe unasema kakupenda.....upo sawa kweli wewe au wewe ndio umempenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…