Sitaki kuongea mengi lakini niko na shaka kubwa kwa hii masters degree ambayo huyu binti anaye, kwanza amesema hi ya finance, hii ndio ukweli , marekani ukiwa na masters in finance kazi ni tele, na pia kupata kibali cha kuishi huko amerika sio shinda, ukiajiliwa ile kamupuni au mtu alikuajili ana haki ya kwenda na kukuezesha upate resident permit sababu uko na kazi,lakini kando na hilo, sioni ANY MOTIVATION, huyu dada anawapa watu wanaotafuta ajira, kaa hii ni masters ya toka mzumbe au dar, hio singeona shinda kubwa nae, lakini huwezi kwenda toka tz mpaka usa ukapata masters, ukapata all that knowledge toka first world, ukawa exposed to all that technology, innovation and yale yote ambayo hufanyika pahali kaa marekani and for sure you came back to bongo to sell makande!!!!!!!!!!,sasa hata huko marekani angekuwa amepata ujuzi na maarifa ya kufanya kitu ambacho kitakuwa tofauti na mtu ambae amesoma tu bongo, yaani angeazisa hata micro finance credit inst, hata kaa sio kubwa kutumia hio ujuzi wa finance education ako nae,au hata kaa hana mtaji, then angeaza a consultancy firm ya kuwapa ushauri wale wanataka kuaza biashara ndogo au kubwa,au hata achukua hii nafasi ya ile kitu kinaitwa AGOA aaze ku export vitu huko amerika, mimi naona ajabu sana na huyu binti yetu, na ndio ninasema niko na mashaka makubwa kuhusu hii masters yake, this is not the way a person who trained in usa , who has a masters should be doing things, she ought to do something innovative and mordern in tech ways,