ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 923
- 1,299
Wasomi wengi wanakwama kwenye kitu kinaitwa....analysis paralysis.... Wanastudy every detail...at the end they fail to do anything!.... Hii inasababishwa na school system ambayo inawaambia mtu ukikosea wewe ni mjinga wakati ukweli ni kwamba unapofanya makosa ndio wakati mzuri zaid wa kujifunza kupitia makosa yako!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app