Binti wa mauzo

Binti wa mauzo

Mributz

Senior Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
177
Reaction score
527
Habari ndugu zangu
Kwa majina naitwa mwamimi shafii naishi Arusha
Umri 21
Jinsia :KE
Elimu: four ila nilifeli nilipata leaving tu
Baba yangu alifariki mama yangu yupo
Msaada wenu wakupata kibarua chochote niweze kujikimu
Namba zangu za simu :
0760 832567
0693 405648
 
Ukiwa unaomba kazi jitahidi kueleza sifa zako kielimu au uzoefu, usiweke maombi katika mlenga wa kutaka kuonewa huruma., taarifa kama za kufariki kwa baba hazina umuhimu kwa muajiri. Nakutakia kila heri mdogo angu naamini humu waajiri wapo watakushika mkono.
 
Habari ndugu zangu
Kwa majina naitwa mwamimi shafii naishi Arusha
Umri 21
Jinsia :KE
Elimu: four ila nilifeli nilipata leaving tu
Baba yangu alifariki mama yangu yupo
Msaada wenu wakupata kibarua chochote niweze kujikimu
Namba zangu za simu :
0760 832567
0693 405648
Usiogope, kufeli darasani sio kufeli maisha. Maisha yako na Shule yake nyingine Kabisa, MUNGU akutangulie Kwenye hitaji lako.
 
Kutokana na vigezo vyako unaona ni vyema ulipwe shilling ngapi??
 
Yote heri.
Shida n kwamba hii accpunt hua imekaa kidalali dalali.. sasa kila mtu awe makini
 
Back
Top Bottom