Binti wa mpangaji mwenzetu katembea na kundi letu lote lenye vijana watano

Mie nimesoma comments tu nikagundua huyu mchizi kaiba simu ya baba na kuandika huo uharo

Hajui kuandika kabisa achilia mbali kutunga story vyote zero kabisa

Bwashee acha kuchezea device ya baba yako
 
Do you have any morality yourself if you had had sex with her like "dogs" queuing for a fit?
 
Wacha weeeh.... Mwenyewe umejimwaga kwa kiswahili kwa ajili ya sisi wa uswazi kuelewa na kuzungu kwa ajili ya wenye lugha yao wote tukuelewe unachosema.😂😂 Mungu akupe nini tena. Rip in advance mbwa nyie. Mtakufa kwa ngoma msipojiangalia.
 
Nimesikitika sana kuona namna mama mwenye nyumba anavyonyima ufunguo wa chooni
 
Kimeumanaaaah [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Product za shule za kata hizi! Kuandika huwezi,kupangilia sentensi huwezi! Ungeandika kirombo tu labda wenzako wangekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…