Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
huyo Raila ana nafasi gani? Ni Kama Lizzu tu aliyechangamka huko KenyaRosemary ni Binti mkubwa wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Kenya Mhesh Raila Odinga
Ni mfano wa kuigwa kwa namna anavyojishughulisha kiuchumi bila kujali nafasi kubwa ya Babake anayeongoza kwa kura za maoni kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Kenya Agosti 2022.
Hongera Kwake
Hahahahaha swali chokonoziAmeolewa?
Wabongo wanajua kutafuta fursaAmeolewa?
Wee nilishajua ulikuwa wataka kusemaje....ngoja nikusaidie basi...."mbona huyu dada ana sura personal"Ameolewa?
Ameolewa?
Rosemary ni Binti mkubwa wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Kenya Mhesh Raila Odinga
Ni mfano wa kuigwa kwa namna anavyojishughulisha kiuchumi bila kujali nafasi kubwa ya Babake anayeongoza kwa kura za maoni kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Kenya Agosti 2022.
Hongera Kwake
at least atakuwa ameonyesha kwamba ana haya na hela za wizi kama ni kweli.Usikute ni njia tu ya kutakatisha $$$...
Ukubwa wa cheo cha Baba yake ndio umempa hiyo Ardhi.
Umekosea sana kumlinganisha Raila na Lissu.huyo Raila ana nafasi gani? Ni Kama Lizzu tu aliyechangamka huko Kenya
Subiri mwezi wa 10 kama hujui nafasi ya Raila,itausoma ubaohuyo Raila ana nafasi gani? Ni Kama Lizzu tu aliyechangamka huko Kenya