Binti wa Rostam anasoma shule ada US$ 200000 kwa mwaka

Binti wa Rostam anasoma shule ada US$ 200000 kwa mwaka

Mkuu haya mambo yanawezekana Tanzania. Lakini kwa nchi zilizoendelea, kiongozi akimpeleka mtoto wake kwenda kusona kwenye private school, badala ya public school ambazo zipo kwa ajili ya wate, ni kashfa.

Ruth Kelly named as Labour minister sending a child to private school | News
Mkuu watoto wa Prez Obama wanasoma Sidwell Friends ambayo ni private school, ada yake kwa mwaka ni $ 32,000 of course haiwezi kuifikia hii ya Switzerland vile vile Chelsea Clinton na mtoto wa Al Gore walisoma hapo.

Mpaka hapa thread ilipofikia hatujaona ushahidi wa kuwa hao ni mabinti wa Rostam au uthibitisho wa kuwa hao watoto wanasoma hapo kwenye hiyo shule instead mleta mada katuwekea pdf ya ada tu.
 
Mkuu watoto wa Prez Obama Sidwell Friends ambayo ni private school, ada yake kwa mwaka ni $ 32,000 of course haiwezi kuifikia hii ya Switzerland vile vile Chelsea Clinton na mtoto wa Al Gore walisoma hapo.

Mpaka hapa thread ilipofikia hatujaona ushahidi wa kuwa hao ni mabinti wa Rostam au uthibitisho wa kuwa hao watoto wanasoma hapo kwenye hiyo shule instead mleta mada katuwekea pdf ya ada tu.

Tehe tehe teh...kwa kweli Wabongo must be among the most easily gullible folks on earth. Mtu anajua anadanganya waziwazi, lakini yeye mwenyewe anaamini uwongo wake ni kitu cha ukweli sababu tu wengine wamekubaliana naye. Kaaz kwer kwer..
 
Hapa ishu ni nini?

nakuunga mkono comrade, watz hatumjui adui yatu. Badala ya kufanyakazi tunajadiri hata visivyofaa. Jiangalie: gari anayotembelea RA=sh300mil, lunch= USD30, jiulize na wewe unatembelea gari gani?, unakula lunch bei gani,btw, wajua RA anaingiza sh kwa siku hata umpangie matumizi.
 
Usilalamike kaka, nchi hii ina wenyewe, hujui kuwa TZ hii kunawatu tunakula baada ya wengine kushiba.
 
Basi ukizikamata passport zao ndiyo utasoma a na b zao. Halafu hako ka kike kamevaa kakuku mguu wa kushoto!!!Mhhh!!!
 
kila mchumia janga hula na wakwao...................................mwache atumie jasho lake
 
sasa we unategemea mijihela yote anayodaiwa kuiba itapungua vipi si kwa njia kama hizo
 
Mpaka sasa naona mleta mada bado hajatuletea vithibitisho...!!
 
My prayer is ''kabla mtoto huyu hajamaliza shule tuwe tumeishamfukuza baba yake arudi kwao Iran'' Amen.
 
attachment.php

Binti wa Rostam Aziz
Ama kweli ukila na kipofu usimshike mkono, fisadi namba moja nchini kwa kweli anafaida sana hela zetu walala hoi maana binti yake anasoma shule moja binafsi na ghali sana huko Swiss amabapo ada yake kwa mwaka ni dola 200,000 na yupo O-level hebu fikiria kwa miaka minne RA atatumi kama dola 1m ghama jumla ya gharama ya kusomesha binti yake huyo. Shule yenyewe inaitwa Le Rosey ni miongoni mwa shule ghali duniani na hata ukiangali kwenye mtandao wa Forbes shule ghali sana kwa amerika wanalipa around 50,000-80,000US$ kwa mwaka sasa hiii ya Swiss ni mara tatu yake kweli fedha ya ufisadi ni tamu sana....
attachment.php

Binti mwingine wa Rostam anayesoma South Africa Ramla Rostam Aziz...

Soma attached PDF hapo for Academic fees and other associated costs in Swiss Franc


hapa ndio pakutolea machungu yetu.... namba ya yeyote kati yao tafadhali... hata walau ka e mail wajameni.. nitatumia hata tu pesa twangu twa nssf niende nikamalize uzia huko.. natema sumu mpaka akae sawa.. msijali akikaa sawa nitakuwa nazirudisha pesa zetu za taifa kwa mlango wa nyma yeye anachota kwa baba mi nitakuwa nazipeleka hazina.. nabaki na 10% mnaonaje...
 
attachment.php


Binti wa Rostam Aziz​

Ama kweli ukila na kipofu usimshike mkono, fisadi namba moja nchini kwa kweli anafaida sana hela zetu walala hoi maana binti yake anasoma shule moja binafsi na ghali sana huko Swiss amabapo ada yake kwa mwaka ni dola 200,000 na yupo O-level hebu fikiria kwa miaka minne RA atatumi kama dola 1m ghama jumla ya gharama ya kusomesha binti yake huyo. Shule yenyewe inaitwa Le Rosey ni miongoni mwa shule ghali duniani na hata ukiangali kwenye mtandao wa Forbes shule ghali sana kwa amerika wanalipa around 50,000-80,000US$ kwa mwaka sasa hiii ya Swiss ni mara tatu yake kweli fedha ya ufisadi ni tamu sana....
attachment.php

Binti mwingine wa Rostam anayesoma South Africa Ramla Rostam Aziz...​


Soma attached PDF hapo for Academic fees and other associated costs in Swiss Franc

Sasa huyo anayetuambia call me bila namba ya simu inakuwaje? Huyo wa Uswiz gharama yote hiyo hivi hiyo shule inamuingizia knowledge moja kwa moja kwenye ubongo wake kama kutundikiwa drip ya maji?
 
Ulitaka akasome mfukunyuzi primary school???au umempenda tu ukaamua kumsaliti kwa wana jf..haya m napita tu kesho
 
Kinachosikitisha watoto wenyewe vilaza,labda knowledge waiingize vichwani mwao kwa mfumo wa blutooth.
 
attachment.php


Huyu lazima atakuwa na akili ya kifisadi tu hata ukioa atakuwa kero tu ndani ya nyumba.....! mara usiponipa hela ya kutengeneza nywele naenda kumwambia baba, mara leo umenichelewesha kulala kesho narudi kwetu.......tabu tu!
 
Nasikitika kuwa kuna Watanzania hawana uwezo wa kuunganisha matukio na kuona kuwa hapa kuna tatizo kubwa sana tena sana!

Ni matanzania, mambumbumbu ambayo yamesomeshwa tena huenda kwa hela za serikali ambazo zimekamuliwa kutoka kwa maskini wa nchi hii(walipa kodi) lakin elimu waliyoipata haikuweza kupanua uwezo wao wao wa kufikiri zaidi ya kujaza madaftari na kupata lundo la vyeti
. Elimu waliyoipata kamwe haikuweza kuwafanya wajitambue na kujua wajibu wao kwa nchi yao na kuitetea na ndo maana ndugu DARK CITY usishangae kuwaona watu hawa wakimtetea Rostam na kuona kitendo cha yeye kumsomesha binti yake huko kwa gharama hzo ni halali yake na haki yake wakati anakwepa kodi za nchi. According to Bwana Karl Max hawa watu (aka mbumbumbu) elimu yao iliwapa false consciousness na ndo maana mabaya huyaona mazuri na mazuri huyaona mabaya........ ila Mwisho wa hawa mafisadi na wafuasi wao unakuja hima kwani hatesi mtesi akatesa.
 
Back
Top Bottom