Binti wa TB Joshua kuolewa Arusha

Binti wa TB Joshua kuolewa Arusha

Huyu muoaji namjua kwao mambo safi,wala hawana njaa..babake na mamake huwa wanafuatana kama Chai na sukari ibadani, kila MTU anavutiwa nao kwakweli ile ndoa kwa nje ni mfano sijajua kwa ndani ,wako Ungalimited Arusha parokia ya moyo safi wa maria huyu mama anakuwa kama ana asili Fulani au alichanganya damu ya kizungu ni mweupe pee anatupia viwalo balaa mke ya Rais weka pembeni...kuna na binti yao ni kisu hatare yaani wale wa kuogopwa...Mama ni mwekahazina wa parokia....huyo mama aliyevaa kofia ya malkia Elizabeth ndio mama wa kijana baba wa kijana huyo ambaye hajavaa suti nyeusi kwenye cake acheni wivu jamaa yuko njema.
Jumamosi ntaenda moyo safi kuushuhudia hii harusi
 
Binti pekee wa mhubiri wa kimataifa wa Naijeria, Temitope Joshua almaarufu TB Joshua, anafunga ndoa jumamosi hii tarehe 8/5/2021 jinini Arusha.

Binti huyo ajulikanae kwa jina la Serah anaolewa na kijana wa kichaga anaeitwa Brian Moshi. Ndoa itafungiwa kanisa la RC- Unga Limited na kufuatiwa na tafrija ya kukata na shoka pale AICC. Bado haijajulikana kama TB Joshua atahudhuria harusi hiyo, na pia hatujajua kama itakua na bia au ni mwendo wa nyuki.

Kwa sheria za kikatoliki, monde ni part and parcel ya tafrija na hasa ukizingatia kabila la muoaji. Wote mnakaribishwa.

Mkuu TheChoji salam. Bwana Harusi alikuwa mmojawapo wa "Evangelist" pale SCOAN ambapo Bibi Harusi ni Mwanasheria. https://www.nairaland.com/2862381/serah-joshua-promise-joshua-tb.

Sasa kwanini hao vijana wanaoana Tanzania katika Kanisa la RC ni siri kubwa sana ambayo ni "Insiders" wa SCOAN ndio wanaoweza kuieleza. Ukiangalia pale SCOAN Evangelist wengi kama sio wote ni "Single" na kuna "Notion" imekuwa ikisemwa kati yao kuwa walioamua kwenda kuoa au kuolewa wamekuwa "Backsliders". kuna Dereva fulani mashuhuri kwa kuwabeba wageni wa SCOAN ambaye alishawahi kuniambia kwamba yamkini hata Evelyne Joshua (Mrs T.B Joshua) hana furaha (haifaidi sana) na ndoa yake kutokana na muda mwingi ambao Prophet T.B Joshua anautoa (Dedicate) kwa mambo ya huduma.

Ukiangalia hizo picha ina maana hao tayari ni Maharusi baada ya kufunga ndoa ya kimila. Je T.b Joshua ameridhia hiyo ndoa au maharusi walifanya uzinzi wakafukuzwa kanisani hilo ni Jambo ambalo tunaweza kulifahamu hapo baadaye.

Ahsante
 
kuna watu wanazaliwa hadi wanakufa hawajawahi kuonja shida..
wanaziskia tuu shida shida hawajui hata zinafananaje.
na ahera ukienda unaona wanaingia peponi we unatupwa motoni
Nakuambia hiyo siku ya kiama utaibuka ubishi mkali sana kama yatafanyika mambo ya upendeleo kama hayo. 😁😁
 
Mkuu vp unaweza kwa bahati ukajaaliwa kuwa na namba ya huyo binti na Mungu akubariki?
... eti Mungu akubariki; ha ha ha! nenda kule Jamii Photos (ule uzi wa Special Thread sijui Beautiful Ladies Worldwide) ukajitwalie misambwanda kule; usitake kuharibu watoto waliolelewa kimaadili.
 
... eti Mungu akubariki; ha ha ha! nenda kule Jamii Photos (ule uzi wa Special Thread sijui Beautiful Ladies Worldwide) ukajitwalie misambwanda kule; usitake kuharibu watoto waliolelewa kimaadili.
Hawa waliolelewa vizuri ndio watam mkuu 😂
 
Binti pekee wa mhubiri wa kimataifa wa Naijeria, Temitope Joshua almaarufu TB Joshua, anafunga ndoa jumamosi hii tarehe 8/5/2021 jinini Arusha.

Binti huyo ajulikanae kwa jina la Serah anaolewa na kijana wa kichaga anaeitwa Brian Moshi. Ndoa itafungiwa kanisa la RC- Unga Limited na kufuatiwa na tafrija ya kukata na shoka pale AICC. Bado haijajulikana kama TB Joshua atahudhuria harusi hiyo, na pia hatujajua kama itakua na bia au ni mwendo wa nyuki.

Kwa sheria za kikatoliki, monde ni part and parcel ya tafrija na hasa ukizingatia kabila la muoaji. Wote mnakaribishwa.
TB Joshua akija,sherehe itageuka kuwa spritual conference.Maana najua kuna wenye shida ya kiroho waliochangia hiyo ndoa kwa lengo la kukutana na upako wa wa T.B.Joshua
 
Mbona mzigo wa kawaida sana, kama Wanaija wenyewe wameususa pamoja na mimali yote hiyo basi huyu meku atakuwa ameona fursa, ila asisahau ya Ben Paul, kuolewa na mtoto wa kishua jua ndugu zako pamoja na wazazi wako watakuwa kama mashamba boy tu.
... hekaya za mswahili!
 
Binti pekee wa mhubiri wa kimataifa wa Naijeria, Temitope Joshua almaarufu TB Joshua, anafunga ndoa jumamosi hii tarehe 8/5/2021 jinini Arusha.

Binti huyo ajulikanae kwa jina la Serah anaolewa na kijana wa kichaga anaeitwa Brian Moshi. Ndoa itafungiwa kanisa la RC- Unga Limited na kufuatiwa na tafrija ya kukata na shoka pale AICC. Bado haijajulikana kama TB Joshua atahudhuria harusi hiyo, na pia hatujajua kama itakua na bia au ni mwendo wa nyuki.

Kwa sheria za kikatoliki, monde ni part and parcel ya tafrija na hasa ukizingatia kabila la muoaji. Wote mnakaribishwa.
Yaani kweli unategemea bia kwenye Harusi ya TB Joshua?
Upo timamu kweli
 
Binti pekee wa mhubiri wa kimataifa wa Naijeria, Temitope Joshua almaarufu TB Joshua, anafunga ndoa jumamosi hii tarehe 8/5/2021 jinini Arusha.

Binti huyo ajulikanae kwa jina la Serah anaolewa na kijana wa kichaga anaeitwa Brian Moshi. Ndoa itafungiwa kanisa la RC- Unga Limited na kufuatiwa na tafrija ya kukata na shoka pale AICC. Bado haijajulikana kama TB Joshua atahudhuria harusi hiyo, na pia hatujajua kama itakua na bia au ni mwendo wa nyuki.

Kwa sheria za kikatoliki, monde ni part and parcel ya tafrija na hasa ukizingatia kabila la muoaji. Wote mnakaribishwa.
kwahiyo binti ni RC siyo wa dhehebu la dady,sasa wazee wa machimbo fursa zimefunguka kwenda Niger delta
 
Back
Top Bottom