Binti wa TB Joshua kuolewa Arusha

ni vizuri kuchanganya ili kuleta ladha tofauti kwenye jamii, kila heri kwao wanaharusi,
 
Alishaolewa,ndoa ilishafungwa naigeria last year!
IPO you tube!.
 
Kama kana divai ilikuwepo basi hakuna budi na hapo mahali pakawa na divai.
 
kabla ya kupost muwe mnauliza kwanza!!
Kwanza ndoa ilishafungwa last year!
Pili ,TBJoshua ana mabinti 3,aliyeolewa ni 1st born sio binti wa pekee,ana wadogo zake 2,Promise na Heart!
 
Kwani si tayari ni wanandoa hao toka Desemba 2020?

Au ndio yale mambo wa wapopo unakuta kuna ndoa kama mbili, ya kimila na nyingine ya church!

Ilishafungwa, ndo nawashangaa!
Tena you tube ipo!
Haikuwa ya kimila ya church kabisa!
Na hata wageni walikuwa wachache,sherehe ndogo tu!
Ila huku kwa mwanaume lzm waje pia!
 
hiyo sisi wachaga huwa hatuangalii kabsaa..
karibu milimani krismass moja uje ujionee ukiwa hauna pesa unachukuliwaje??!!afu ukute wee ndo kaka mkubwa madogo zako ndo tuna kimango utapata tabu sana
Hii umesema ukweli mkuu.utatumwa Kama mtt na wadogo zako. Na ndo Mana mchaga hanaga utu. Ukimuona mchaga Ana urafiki na chasaka Kuna kitu anakitafuta na sio bure. Hata wale wachaga wasio na pesa kampani yao huwa ni vyasaka na vishoia hadiriki kwenda kwao Mana ni aibu ataambulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…