Binti wa TB Joshua kuolewa Arusha

Binti wa TB Joshua kuolewa Arusha

Ha
Mkuu vp unaweza kwa bahati ukajaaliwa kuwa na namba ya huyo binti na Mungu akubariki?
hahaaaa nenda uanze kusali parokia ya moyo safi wa maria Ungltd Arusha Mimi siko huko tena mkuu....zamani sana.
 
Mbona hii ilishafanyika huko Nigeria mtoa mada acha kuhadaa watu ,Kanisa katoliki Njiro ya Wapi Duh
 
Yaani wewe jamaa hujui lolote unatapika tu ni petroleum engineer jamaa anapiga mzigo pale gasprom naija delta sasa unakuja na bla bla kibao jamaa anakwenda kusali tu kama waumini wengine acha akili zakuambiwa
Sawa bro bora umeongea maana hata mie nilikuwa natafuta ukweli sema tu mbinu zangu ni za kijasusi zaidi 😂😂😂 asante kwa kuleta udau kaka!
 
Back
Top Bottom