Mwenye uelewa wa kozi tajwa hapo juu naomba anipe ufafanuzi.
Hii kozi inahusiana na nini?
Ili uweze kusoma hii kozi unatakiwa usome mchepuo upi?
Ukisoma hii kozi unafanya kazi gani na wapi?
Je unaweza kujiajiri kupitia hii kozi?
Karibuni kwa ufafanuzi.
Hii kozi inahusiana na nini?
Ili uweze kusoma hii kozi unatakiwa usome mchepuo upi?
Ukisoma hii kozi unafanya kazi gani na wapi?
Je unaweza kujiajiri kupitia hii kozi?
Karibuni kwa ufafanuzi.