Biriyani: Chakula kitamu lakini adimu

Biriyani: Chakula kitamu lakini adimu

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Sikuwa nakifahamu! Lakini miaka michache baada ya kusikia kikielezewa, nilifanikiwa kukila.

Mara yangu ya kwanza kuila ilikuwa ni Jumatatu, 28/06/2021, Zanzibar, kwenye mghahawa uitwao ZANZI BBQ. Mghahawa upo pembezoni mwa barabara inayoelekea Airport. Nafikiri unamilikiwa na Mhindi.

Lakini baada ya kurudi Tanganyika, imekuwa ni nadra sana kukipata hicho chakula kwenye mighahawa ya kawaida.
Mghahawa pekee ninaoufahamu
Mwanza unakoweza kupata Biriyani ni Baraka Cafe iliyopo maeneo ya Natta jijini Mwanza. Changamoto yake ni kwamba siku pekee ya kuweza kupata hicho chakula hapo Baraka Cafe ni Ijumaa.

Tokea mwaka 2021, nimeshakula Biriyani mara kadhaa. Ni kizuri. Ni kitamu. Japo niliyoila Zanzibar, kwa mujibu wa mtazamo wangu, ni nzuri zaidi kuliko niliyoila hapa Tanganyika. Hata hivyo, ni nzuri kuliko pilau.

Ni kwa nini chakula kizuri kama
hicho ni nadra kupatikana?

Kwa nini baadhi ya mighahawa Biriyani hupatikana siku ya Ijumaa pekee?
 
Sikuwa nakifahamu! Lakini miaka michache baada ya kusikia kikielezewa, nilifanikiwa kukila.

Mara yangu ya kwanza kuila ilikuwa ni Jumatatu, 28/06/2021, Zanzibar, kwenye mghahawa uitwao ZANZI BBQ. Mghahawa upo pembezoni mwa barabara inayoelekea Airport. Nafikiri unamilikiwa na Mhindi.

Lakini baada ya kurudi Tanganyika, imekuwa ni nadra sana kukipata hicho chakula kwenye mighahawa ya kawaida.
Mghahawa pekee ninaoufahamu
Mwanza unakoweza kupata Biriyani ni Baraka Cafe iliyopo maeneo ya Natta jijini Mwanza. Changamoto yake ni kwamba siku pekee ya kuweza kupata hicho chakula hapo Baraka Cafe ni Ijumaa.

Tokea mwaka 2021, nimeshakula Biriyani mara kadhaa. Ni kizuri. Ni kitamu. Japo niliyoila Zanzibar, kwa mujibu wa mtazamo wangu, ni nzuri zaidi kuliko niliyoila hapa Tanganyika. Hata hivyo, ni nzuri kuliko pilau.

Ni kwa nini chakula kizuri kama
hicho ni nadra kupatikana?

Kwa nini baadhi ya mighahawa Biriyani hupatikana siku ya Ijumaa pekee?
Mimi binafsi niliyokula Zanzibar Nungwi sikuipenda. Ila ijumaa moja nilikula biryani Mish Cafe Temeke, ilikuwa poa sana.
 
Overrated food, hakuna kitu
Umeshaila mkuu? Ni tamu aisee! Sema Sasa watu tunatofautiana katika mwitikio wa ladha.

Kwa sababu niliwasimia sana watu wakiusifia urojo, nilipokuwa Zanziba, niliamua na mimi kuuonja! Mbona ulinishinda!

Ajabu kuna watu wanaoupenda sana!

Ndivyo ilivyo na biriyani, inawezekana kuna wengine hawaipendi, lakini mimi binafsi, nimetokea kuipenda sana.
 
Sikuwa nakifahamu! Lakini miaka michache baada ya kusikia kikielezewa, nilifanikiwa kukila.

Mara yangu ya kwanza kuila ilikuwa ni Jumatatu, 28/06/2021, Zanzibar, kwenye mghahawa uitwao ZANZI BBQ. Mghahawa upo pembezoni mwa barabara inayoelekea Airport. Nafikiri unamilikiwa na Mhindi.

Lakini baada ya kurudi Tanganyika, imekuwa ni nadra sana kukipata hicho chakula kwenye mighahawa ya kawaida.
Mghahawa pekee ninaoufahamu
Mwanza unakoweza kupata Biriyani ni Baraka Cafe iliyopo maeneo ya Natta jijini Mwanza. Changamoto yake ni kwamba siku pekee ya kuweza kupata hicho chakula hapo Baraka Cafe ni Ijumaa.

Tokea mwaka 2021, nimeshakula Biriyani mara kadhaa. Ni kizuri. Ni kitamu. Japo niliyoila Zanzibar, kwa mujibu wa mtazamo wangu, ni nzuri zaidi kuliko niliyoila hapa Tanganyika. Hata hivyo, ni nzuri kuliko pilau.

Ni kwa nini chakula kizuri kama
hicho ni nadra kupatikana?

Kwa nini baadhi ya mighahawa Biriyani hupatikana siku ya Ijumaa pekee?
Ukosefu wako wa pesa mfukoni..... Ndio unaokufanya uone biriani ni chakula adimu kwako!!!

Hakuna kitu adimu ukiwa na vyambati!!!
 
Sikuwa nakifahamu! Lakini miaka michache baada ya kusikia kikielezewa, nilifanikiwa kukila.

Mara yangu ya kwanza kuila ilikuwa ni Jumatatu, 28/06/2021, Zanzibar, kwenye mghahawa uitwao ZANZI BBQ. Mghahawa upo pembezoni mwa barabara inayoelekea Airport. Nafikiri unamilikiwa na Mhindi.

Lakini baada ya kurudi Tanganyika, imekuwa ni nadra sana kukipata hicho chakula kwenye mighahawa ya kawaida.
Mghahawa pekee ninaoufahamu
Mwanza unakoweza kupata Biriyani ni Baraka Cafe iliyopo maeneo ya Natta jijini Mwanza. Changamoto yake ni kwamba siku pekee ya kuweza kupata hicho chakula hapo Baraka Cafe ni Ijumaa.

Tokea mwaka 2021, nimeshakula Biriyani mara kadhaa. Ni kizuri. Ni kitamu. Japo niliyoila Zanzibar, kwa mujibu wa mtazamo wangu, ni nzuri zaidi kuliko niliyoila hapa Tanganyika. Hata hivyo, ni nzuri kuliko pilau.

Ni kwa nini chakula kizuri kama
hicho ni nadra kupatikana?

Kwa nini baadhi ya mighahawa Biriyani hupatikana siku ya Ijumaa pekee?
Biryani ni chakula expensive kukiandaa, ndio maana kwa wanaojaribu kupika ni lazima waweke siku maalum ya biryani ili wasipate hasara .
Ila kwa mjini hapa biryani ukilitaka ni siku yoyote ile unapata.
 
Biryani ni chakula expensive kukiandaa, ndio maana kwa wanaojaribu kupika ni lazima waweke siku maalum ya biryani ili wasipate hasara .
Ila kwa mjini hapa biryani ukilitaka ni siku yoyote ile unapata.
kuna kautamaduni kamewekwa na migahawa na watu wengi kuwa ijumaa ndio biriani day. Ila kuna yule jamaa mudi biriani, nadhani ni biashara yake kuu so anauza Monday to Monday, ingawa sijawahi kula kwake so, sina uhakika na ladha ya chakula chake
 
Kuna kishangazi lilikuaga linapika biryan tam sana kule mitaa ya tandale karibu na kwa bibi nyay, basi liliniambia kwamba.... siku ya kupika biryan havaagi chup...🤨 sa sjui kwakweli...😐
 
kuna kautamaduni kamewekwa na migahawa na watu wengi kuwa ijumaa ndio biriani day. Ila kuna yule jamaa mudi biriani, nadhani ni biashara yake kuu so anauza Monday to Monday, ingawa sijawahi kula kwake so, sina uhakika na ladha ya chakula chake

Huyo alijifanya niichukie biriani,chakula kina maviungo hadi kero.
 
Huyo alijifanya niichukie biriani,chakula kina maviungo hadi kero.
Ila mkuu kuna biriani halina viungo vingi, sijawahi kukutana nalo maana mchuzi siku zote ni mzito kiasi ukiongezea maji ya kutosha bad unaweza pata rosti ya kulia ugali 😁
 
Sikuwa nakifahamu! Lakini miaka michache baada ya kusikia kikielezewa, nilifanikiwa kukila.

Mara yangu ya kwanza kuila ilikuwa ni Jumatatu, 28/06/2021, Zanzibar, kwenye mghahawa uitwao ZANZI BBQ. Mghahawa upo pembezoni mwa barabara inayoelekea Airport. Nafikiri unamilikiwa na Mhindi.

Lakini baada ya kurudi Tanganyika, imekuwa ni nadra sana kukipata hicho chakula kwenye mighahawa ya kawaida.
Mghahawa pekee ninaoufahamu
Mwanza unakoweza kupata Biriyani ni Baraka Cafe iliyopo maeneo ya Natta jijini Mwanza. Changamoto yake ni kwamba siku pekee ya kuweza kupata hicho chakula hapo Baraka Cafe ni Ijumaa.

Tokea mwaka 2021, nimeshakula Biriyani mara kadhaa. Ni kizuri. Ni kitamu. Japo niliyoila Zanzibar, kwa mujibu wa mtazamo wangu, ni nzuri zaidi kuliko niliyoila hapa Tanganyika. Hata hivyo, ni nzuri kuliko pilau.

Ni kwa nini chakula kizuri kama
hicho ni nadra kupatikana?

Kwa nini baadhi ya mighahawa Biriyani hupatikana siku ya Ijumaa pekee?
 
Back
Top Bottom