Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado rojo lake kwa juuBirian kuku
Acha fujo mkuu!Birian kuku
Kwa nini baadhi ya mighahawa hiyo huduma hupatikana Ijumaa pekee?Pilau nayo ilikuwa inapikwa ikulu tu miaka ya nyuma!!😂😂
Hiyo biriyani itakuwa mtaa tu spoon😂😂😂
Mtafutie walimu wa birian mbona wapo wengi tuAcha fujo mkuu!
Wengine wake zetu hawajui kutengeneza hii kitu!
Lipo pemben hapoBado rojo lake kwa juu
Aisee!Lipo pemben hapo
Tulioowa visiwani tunafaidi mengiAisee!
Aisee😀Tulioowa visiwani tunafaidi mengi
Nzuri sana mkuu!Biryani mnaipaisha sana asee, hakuna kitu pale
Huwa najiuliza mfano mchele super wa Ifakara au kyela huwa haufai kupikia biriani mpaka hiyo basmati?kuna wamama mtaani wako vizuri sana kwenye kusuka biriani
nikiwa na hamu namkodi, ananipikia cha siku kadhaa, mchele wa kawaida siyo basmat(mchele feki)
Hapa kuna C.O.D.Ekuna wamama mtaani wako vizuri sana kwenye kusuka biriani
nikiwa na hamu namkodi, ananipikia cha siku kadhaa, mchele wa kawaida siyo basmat(mchele feki)
Si umuoe mmoja awe anakupikiaga.kuna wamama mtaani wako vizuri sana kwenye kusuka biriani
nikiwa na hamu namkodi, ananipikia cha siku kadhaa, mchele wa kawaida siyo basmat(mchele feki)
HAPANASi umuoe mmoja awe anakupikiaga.
unafaa vyema tu, binafsi sikubaligi basmati aiseeHuwa najiuliza mfano mchele super wa Ifakara au kyela huwa haufai kupikia biriani mpaka hiyo basmati?