Biriyani: Chakula kitamu lakini adimu

Biriyani: Chakula kitamu lakini adimu

Birian kuku
 

Attachments

  • FB_IMG_1693237487480.jpg
    FB_IMG_1693237487480.jpg
    103.8 KB · Views: 2
Hua nakula nyumbani,kama umeoa mwambie mkeo akupikie...kwa sasa wanawake wanajifunza mapishi kwenye mitandao na wanaweza wakapika vizuri kabisa.
 
kuna wamama mtaani wako vizuri sana kwenye kusuka biriani
nikiwa na hamu namkodi, ananipikia cha siku kadhaa, mchele wa kawaida siyo basmat(mchele feki)
Huwa najiuliza mfano mchele super wa Ifakara au kyela huwa haufai kupikia biriani mpaka hiyo basmati?
 
Kwa hapa DSM nimekula sehemu 5 tofauti, kuna Mgahawa upo pale Salamander Tower, Mwingine upo pale TPA HQ, Risa BBQ pale Lumumba na Sinza mgahawa fulani hivi, ila kwa SELE BONGE KINONDONI ndo pameshindikana *****, yule mwamba ana balaa
 
Back
Top Bottom