Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 67002 Dogo kafanya matusi makubwa, Wema alihudhuria, inadaiwea ndiye aliyemgharamia vitu kibao, wanawake wa mjini wale wanapenda sifa wote walikuwepo, jamani dogo atawamaliza au ndude yake ita-expire mapema.
Huwa wanatibuana makusudi kwaajili ya kuuza sura gazetini.?View attachment 67003 Wema & Diamond kwenye pati hiyo.
View attachment 67003 Wema & Diamond kwenye pati hiyo.
Ila wema akizaa na diamond mtoto atakua na mdomo mzuri sana
Aaaaaah inawezekana wapo mkuu lakini siyo miye mleta thread hii, sijawanhi kula hata senti yake nyekundu.dimond kuna watu anawalipa humu... si buree
Jamini ni Celebrity waKibongo au nimekosea na kuweaka sehemu isiyohusika? kama ndiyo hivyo naomba radhi waungwana kama nimewakera.mkuu simba mkali wewe ndio dayamondi ehhhh..
habari hii ina tija gani hapa JF
Jamini ni Celebrity waKibongo au nimekosea na kuweaka sehemu isiyohusika? kama ndiyo hivyo naomba radhi waungwana kama nimewakera.
Pole! Nimeweka picha chache lakini kuna picha nyingi na maelezo ambayo zinaonesha huo ukiboko, nimesema kwa uchache nimeonekana nampigia debe, sasa ningeleleza kila kitu kilivyokuwa ingekuwaje, nilijua kuna wakuu humu ndani watakuwa wanajua kilchotokea na kuchangia kwa undani zaidi.ukiboko wa hiyo "bath" day uko wapi?? nadhani ndio watu wanahitaji.
Pole! Nimeweka picha chache lakini kuna picha nyingi na maelezo ambayo zinaonesha huo ukiboko, nimesema kwa uchache nimeonekana nampigia debe, sasa ningeleleza kila kitu kilivyokuwa ingekuwaje, nilijua kuna wakuu humu ndani watakuwa wanajua kilchotokea na kuchangia kwa undani zaidi.
kwani kulitokea nini cha ajabu mkuu,embu tujuze???
View attachment 67054






Nadhani hizi ni baadhi ya picha zinazoweza kusema, lakini kwa kifupi tu watu waliogelea kunywa na kusaza, Wema alileta keki na pia Jokate alilileta keki lakini hakufika. vijana walistarehe vya kutoshaSubili baada ya siku 3 utasikia Diamond kila show analipwa millioni 10 na anafanya show 3 kwa wiki, kwahiyo kila wiki anakunja millioni 30!! upambe mwingine hauna kichwa wala miguu.dimond kuna watu anawalipa humu... si buree