Birthday yangu tarehe 29 Feb

Birthday yangu tarehe 29 Feb

Dah hiyo tarehe ilikuwepo mwaka jana nandio tarehe aliyozaliwa my son
 
Amesema Allaah سبحانه وتعالى

((وَلَن تَرْضَى عَنكَ الْيَهُودُ وَلاَ النَّصَارَى حَتَّى تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ))

((Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao)) Al-Baqarah:120

Miongoni mwa mila zao makafiri ni hizo za kuwasha mishumaa na kupuliza, na kuweka muziki na kadhalika, yote hayo ni mafundisho ya baatil yasiyompasa Muislamu kuyafuata bali ni kufuata mwendo wa Mtume صلى الله عليه وآله وسلم pamoja na Wema Waliotangulia (Salaf Swaalih) ambao haijathibitika kuwa walikuwa wakishereheka siku zao za kuzaliwa abadan.

Kwa hiyo haifai kushehereka kwa kuwatembelea wagonjwa na kulisha masikini, kwani kufanya hivyo itakuwa ni mafundisho kwa wengine kuwa jambo hili linafaa kwa vile eti halina muziki au hupulizi mishumaa. Na kusita kwako kufanya hivyo itakuwa ni mafundisho ya wenzako na kizazi chako kuendelea kujiepusha na mila hizi na kila atakayewacha kufanya kwa mafundisho yako basi utapata thawabu zako kutoka kwa Allaah سبحانه وتعالى .
UMEJITAHIDI KIDOGO, NGOJA NAMI NIKUPE UZI MMOJA HAPA CHINI/ INTRO....

I was able to come across the legal rulings from renowned scholars, Shaykh Abdullah Bin Bayyah and Mufti Muhammad ibn Adam al-Kawthari:

Get your pen and pad ready, I was able to get a clear anwser from the fatwa bank at Islamonline.net in which a group of muftis said: ” Islam supports the celebration of birthdays if it is an expression of gratitude to Allah for His bounties, sustenance and blessings in man’s life, as long as that celebration does not include anything that may displease Allah, the Almighty.”

Here is what the other scholars say:

My man the renowned scholar Shaykh Abdullah Bin Bayyah (May Allah swt preserve him and all the rightly guided scholars) said:

“The holidays which are forbidden [for Muslims] to observe are those with religious overtones [such as Christmas and Easter*] not the festive gatherings people observe due to certain events. Therefore, people are allowed to celebrate wedding anniversaries, birthdays or any occasion as such celebrations are not related to religious holidays. It is imperative that we work to remove the confusion surrounding this misunderstanding and the doubts that have affected many people [regarding this issue]. [Because of this misunderstanding] people find hardship and difficulty in their religion. Especially when a religious minded person holds [such non religious celebrations] to be from the major sins or rejected acts when, in fact, they are not.


Moving forward, below is a response from Mufi Muhammad

If the origins of birthday celebrations are connected to a particular faith, then there is no doubt in its impressibility. If, however, it has no connections with the faith of the non-Muslims, then (and Allah knows best) it seems that it would be permissible to celebrate it (provided the evils mentioned above are avoided).

If one thanks Allah and shows gratitude for being blessed with one more year of his life, thus expresses happiness and joy, then there is nothing wrong with that. (See: al-Fatawa al-Rahimiyya (urdu), 6/320).

Mufti Muhammad also mentioned if the birthday involves specific practices and adaptations of customs from the disbelievers like The lighting of candles on a cake that number the years of one’s life and then blowing on them (Allah swt knows best about the candles), playing of music, singing, extravagant and lavish spending, showing off, etc are all unlawful and forbidden practices. Thus, if birthdays are celebrated by adopting the above-mentioned customs, it will not be permissible.

Check the full reading here

Anyways, it all depends on what you do on your birthday, what’s the purpose and most importantly what intentions you have. If you don’t want to do anything on your birthday, then it’s all good.

At the end of the day, everyone needs to make their own decisions.

SOURCE: Is it Haraam to Celebrate Birthdays? - Chill Yo Islam Yo
 
Huwa napata shida sana kwa hii cku yangu ya kuzaliwa, nikisema nisherehekee trh 28 au trh 1 Machi, naona km najidanganya. Naomba ushauri wadau, au niwe napotezea kwa miezi inayoishia na trh 28, na nikipotezea inabidi niwe nasherehekea kila baada ya miaka minne ili ipatikane hyo 29.

Kalenda hii ya kizungu hainitendei haki au nibadilishe kalenda....
Kuna utata kati ya siku ya kuzaliwa na tarehe ya kuzaliwa. Kwa kawaida siku zinatambulika kama Jumatatu, Jumanne, Jumatano, nk. Kwa upande wa tarehe zinasomeka namba ambazo ni tarehe 1 hadi 31 kutegemea na mwezi.
Samahani naomba utujuze unachozungumzia ni tarehe au siku?
 
Kuna utata kati ya siku ya kuzaliwa na tarehe ya kuzaliwa. Kwa kawaida siku zinatambulika kama Jumatatu, Jumanne, Jumatano, nk. Kwa upande wa tarehe zinasomeka namba ambazo ni tarehe 1 hadi 31 kutegemea na mwezi.
Samahani naomba utujuze unachozungumzia ni tarehe au siku?
HAKUNA HAJA ILIMRADI UMESHAELEWA
 
Back
Top Bottom