Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Ubunge ukipewa na mungu wajati magu aliiba kura?"Mungu akikupa amekupa, Wanadamu wakikupa ukiwapingapinga kidogo wanasema tukunyang'anye tulichokupa, heri kupewa na Mungu kuliko kupewa na Wanadamu,mimi hunitishi kitu kwasababu kila nilichonacho nimepewa na Mungu" Mhe. Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe kuptia @ccm_tanzania https://t.co/08EMrlwm6, View attachment 2050010
Kodi gani kwa taasisi za dini?Alipe Kodi,anaweza kutuonyesha walipeana wapi na Mungu..Jina la Mungu lositumike kutapeli na kukwepa Kodi.
Sio kila mali za taasisi za dini hazilipi Kodi,usiwe mbumbumbu.RC na madhehebu mengine Wana mali wanazoziendesha kibiashara yaani sio huduma wanalipa Kodi.Kodi gani kwa taasisi za dini?
Mbumbumbu mama yako, ni biashara gani anafanya Gwajima fafanua.Sio kila mali za taasisi za dini hazilipi Kodi,usiwe mbumbumbu.RC na madhehebu mengine Wana mali wanazoziendesha kibiashara yaani sio huduma wanalipa Kodi.
Sasa walokole wanaojiita mitume na manabii wanamiloki mali kwa majina yao ukiwauliza kwa nini hawalipi Kodi wanasingizia za dini.
Sasa dini inatumika kama kichaka cha kukwepa Kodi,.Mwambieni gwajiboy tunakuja alipe Kodi.
Kimya mpaka sasa hivihicho kikao cha kuwajadili kimeamua nini ?
That's the question.hicho kikao cha kuwajadili kimeamua nini ?
Kwa level ya Gwajima kodi sio tatizo! Halafu mjue Gwajima haendeshwi na njaa! Maana gwajima ni mkubwa kuliko Ubunge huu wa kizuzu?Ameguswa kwenye mfupa sio, atulie alipe kodi nchi haiwezi kuongozwa kijanja kijanja... haiwezekani mali za kanisa unaandika jina lako binafsi.
Na we jamaa huwa una hasira sana.Mbumbumbu mama yako, ni biashara gani anafanya Gwajima fafanua.
Kamanda, watu wengine wana mauziNa we jamaa huwa na hasira sana.
Kama uchawi unafufua basi ni mzuriKufufua misukule umepewa na Mungu au ni uchawi?
Sisi wapiga kura wako wa jimbo la kawe tucomment wapi?"Mungu akikupa amekupa, Wanadamu wakikupa ukiwapingapinga kidogo wanasema tukunyang'anye tulichokupa, heri kupewa na Mungu kuliko kupewa na Wanadamu,mimi hunitishi kitu kwasababu kila nilichonacho nimepewa na Mungu" Mhe. Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe kuptia @ccm_tanzania https://t.co/08EMrlwm6, View attachment 2050010
Ubunge aliutaka wa nini na kama ni uzuzu kwann ajishushe hadi wanamhoji kama zuzu kweli na asiuachie??Kwa level ya Gwajima kodi sio tatizo! Halafu mjue Gwajima haendeshwi na njaa! Maana gwajima ni mkubwa kuliko Ubunge huu wa kizuzu?
🤣🤣🤣🤣 wakati ule alikuwa bize kufufua misukuleAlishindwa kujenga kanisa lake miaka yote,amekuwa mbunge kanisa linajengwa kwa kasi sana,ubunge unalipa