Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Huyu jamaa anataka tusahau ile ahadi ya kutupeleka Birmingham na kujenga kiwanda cha uvuvi. Asitake kujifanya anataka kujiuzulu. Sisi tunataka twende zetu USA kama alivyoahidi"Mungu akikupa amekupa, Wanadamu wakikupa ukiwapingapinga kidogo wanasema tukunyang'anye tulichokupa, heri kupewa na Mungu kuliko kupewa na Wanadamu,mimi hunitishi kitu kwasababu kila nilichonacho nimepewa na Mungu" Mhe. Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe kuptia @ccm_tanzania https://t.co/08EMrlwm6, View attachment 2050010