Bishop Gwajima: Hamnitishi kitu, nilicho nacho nimepewa na Mungu

Huyu jamaa anataka tusahau ile ahadi ya kutupeleka Birmingham na kujenga kiwanda cha uvuvi. Asitake kujifanya anataka kujiuzulu. Sisi tunataka twende zetu USA kama alivyoahidi
 
Ameguswa kwenye mfupa sio, atulie alipe kodi nchi haiwezi kuongozwa kijanja kijanja... haiwezekani mali za kanisa unaandika jina lako binafsi.
Neno la Mungu linalipiwa Kodi??? Gwajima hamuuwezi kufanya chochote
 
Mungu kampa Nini sasa? Huo unafki alionao?
 
Gwajimaaaaaaaaaaaaaaa[emoji16][emoji16].Kama mnaweza mtekeni mumpeleke ununio.
 
Ameguswa kwenye mfupa sio, atulie alipe kodi nchi haiwezi kuongozwa kijanja kijanja... haiwezekani mali za kanisa unaandika jina lako binafsi.
Mbunge Jerry Slaa alisema wabunge hawalipi kodi. Kodi inayopotea kwa wabunge kutolipa inaweza kuwa kubwa kuliko hii ya makanisani na misikitini.
 
kanisa limempa mchungaji wake gari sasa unataka aandike jina la YESU ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…