24th DECEMBER
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 401
- 167
kakobe ameacha lini.kuwatapeli waumini wake?
Hawa maaskofu wa kutumia madawa ya kinigeria nao hawa hawana hata maana anajiandaa kugombea ubunge jimo la kawe kupitia chadema tunamsubiri tumuuliza mpaka yale mambo ya uchawi.
Hawa maaskofu wa kutumia madawa ya kinigeria nao hawa hawana hata maana anajiandaa kugombea ubunge jimo la kawe kupitia chadema tunamsubiri tumuuliza mpaka yale mambo ya uchawi.
Hawa maaskofu wa kutumia madawa ya kinigeria nao hawa hawana hata maana anajiandaa kugombea ubunge jimo la kawe kupitia chadema tunamsubiri tumuuliza mpaka yale mambo ya uchawi.
Ivi kakobe anawajua CCM vizuli?nampongeza kwa maneno yake kama yanatoka moyoni mwake na kama ndio anachokiamini,lkn nashauli awe makini na CCM kwa BUNDEZLIGA wanatisha NAPITA njia tu.
Hivi dawa za nigeria na uchawi wa Bagamoyo uao linda ikulu nani zzidi?Askofu anatumia madawa ya kinaijeria, wewe raia wa kawaida unatumia hirizi za wapi??
Mtangaika Sana ila Tanzania utadumu daima milele
Hawa maaskofu wa kutumia madawa ya kinigeria nao hawa hawana hata maana anajiandaa kugombea ubunge jimo la kawe kupitia chadema tunamsubiri tumuuliza mpaka yale mambo ya uchawi.