mkuu mimi ni mdau wa serikali tatu,Wala sina chama cha siasa,katika Sakarya hili la mungano ni CCM ndio wenye msimamo wa serikali mbili,lakini ujue kuwa katika wafuasi wa kakobe na CCM wako vile vile sasa unataka kuniambia kuwa wanachama wa CCM wamkimbie kakobe
kwamba nchi imelaaniwa kwasababu imekataa kuitwa tanganyika?.Amesema Tanganyika huru lazima ipatikane ni
suala la muda tu
Nchi yetu imekuwa katika laana kwa muda mrefu
kwa sababu tumeshindwa kuilinda mipaka yetu
Moto wa kudai Tanganyika umewaka na hamna
mtu awezaye kuuzima. Awaonya watawala kusoma
alama za nyakati na amewataka kuiepusha nchi
kuingia katika machafuko kwa kuridhia Serikali ya
Tanganyika.
Pia amesema Nyerere sio Mungu naye ana
mapungufu yake wanaomuabudu wanakosea.
Kosa alilolifanya Nyerere ni kuruhusu kuunda
serikali hewa ya Tanzania bara ambayo kimsingi
haipo ukiliganisha na Zanzibar.
Amewaonya viongozi wanaopinga kurejeshwa
kwa Tanganyika kuwa wataitumbukiza nchi katika
machafuko.
...Hizo zilikuwa salamu za Pasaka alizozitoa leo
katika kanisa la FGBF Dar es salaam.
Imeandikwa wapi?
Mtangaika Sana ila Tanzania utadumu daima milele
Kakobe alishawahi kusema unafiki ufuatao!
(1) Mwaka 2000 alisema Lyatonga Mrema ndie chaguo la "mungu" na ndie rais ajae WA Tanzania. [Ukweli ulionekana na Mrema alishindwa vibaya mno na mkapa]
(2) Aliiambia serikali ikiwa nyaya za umeme zikipita juu ya kanisa lake basi hazipitisha umeme. [ukweli Ni kwamba nyaya zilipita na umeme umepita juu ya kanisa lake].
Kusikiliza utabiri WA Kakobe Ni sawa na kusikiliza Utabiri wa PELE wa Brasil.
KAKOBE ACHA KUTOKWA NA MAPOVU!
Ni mpiga kura wa hao wanasiasa .kwahiyo siasa .inamhusu
Kakobe alishawahi kusema unafiki ufuatao!
(1) Mwaka 2000 alisema Lyatonga Mrema ndie chaguo la "mungu" na ndie rais ajae WA Tanzania. [Ukweli ulionekana na Mrema alishindwa vibaya mno na mkapa]
(2) Aliiambia serikali ikiwa nyaya za umeme zikipita juu ya kanisa lake basi hazipitisha umeme. [ukweli Ni kwamba nyaya zilipita na umeme umepita juu ya kanisa lake].
Kusikiliza utabiri WA Kakobe Ni sawa na kusikiliza Utabiri wa PELE wa Brasil.
KAKOBE ACHA KUTOKWA NA MAPOVU!
Yaani huyu Pengo majanga.. ametia aibu..
amemchukiza adi ngalalekumtwa ambae ndiye raisi wa baraza la maaskofu.. na ndiye msemaji wa kanisa.. lakini uccm wa pengo umeleta shida
Dini na siasa ni vitu viwili tafauti,ushauru wangu Askofu angalia neno la bwana acha siasa kwa wanasiasa
namkumbuka na kauli zake wakati UMEME unapitishwa juuu ya madhabahu yake
na wewe unayeleta
tuhuma ambazo huwezi kuzithibitisha ni TAPELI! anayepinga serikali ya
tanganyika ni MHAMIAJI HARAMU!
kakobe ameacha lini.kuwatapeli waumini wake?
kwani kupitisha nyaya tu za umeme mpaka wazindue?.kwani ule mradi ulishasikia ulizinduliwa lini?
Acha udini wewe! Utaperi huo umeona wapi na hali wewe muda wote upo msikitini?
Kakobe alishawahi kusema unafiki ufuatao!
(1) Mwaka 2000 alisema Lyatonga Mrema ndie chaguo la "mungu" na ndie rais ajae WA Tanzania. [Ukweli ulionekana na Mrema alishindwa vibaya mno na mkapa]
(2) Aliiambia serikali ikiwa nyaya za umeme zikipita juu ya kanisa lake basi hazipitisha umeme. [ukweli Ni kwamba nyaya
zilipita na umeme umepita juu ya kanisa lake].
Kusikiliza utabiri WA Kakobe Ni sawa na kusikiliza Utabiri wa PELE wa Brasil.
KAKOBE ACHA KUTOKWA NA MAPOVU!